Ilikuwa juzi jumatatu nilipokuwa naongea na bro wangu kuhusu kuwa mpaka leo sijaoa,nikamuuliza kuhusu uaminifu wa wanawake,akaniambia nitakapo tafuta mchumba niwe makini kwani mabinti wembamba wanapenda sana kurukiana(kufanya mapenzi)kuliko wanene,hivyo nijitahidi kuwa na uwezo mkubwa wa kurukiana,sasa sijajua kama dhana hii ni kweli ama la!Je kuna mwenye uzoefu atujuze?
Ni kweli ndugu hao wanawake wembamba ni mtambo, kama wewe dume wajijua ni wa round mmoja uwakwepe kabisa waweza aibika, hawachoki. Vile vile ukijijua wewe ni lidume kweli wakwepe wanene maana wengi wao ni wavivu na hawapendi kila siku au mara kwa mara.
mhh :mimba: