kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Mashabiki wa Simba mnachangia shillingi ngapi?Senzo akiweza kuongoza Yanga nitamuona ana kipaji cha uongozi.
Hakuna timu yenye majungu kama Yanga. Yanga kila mtu mjuaji hadi mashabiki wasiochangia chochote wanatamani wapange kikosi.
Tusubiri tuone wa KIMATAIFA.