Kama ni kweli Mchezaji niliyemkubali toka akiwa Simba B Said Ndemla anarejea Simba SC nitafurahi

Kama ni kweli Mchezaji niliyemkubali toka akiwa Simba B Said Ndemla anarejea Simba SC nitafurahi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni Mchezaji ambaye sijui Mpuuzi gani ndani ya Simba SC alishauri atolewe kwa Mkopo.

Said Hamis Ndemla ni Kiungp mwenye Kipaji kikubwa cha Soka na ana Faida kadhaa Kukaba, Kupiga Mashuti ni mzuri katika namba zote za Kiungo ile ya Sita na Nane na huzitendea haki.

Anaondoka Mkude niliyemlea Mwenyewe Biafra, Kawe na Tandale sasa anajuna Mdogo wangu Ndemla niliyemlea Mwenyewe Viwanja vya Barafu, Kinesi na Kitaani Migo Migo ( Magomeni )

Naomba arudishwe kweli SSC.
 
Ndemla anachoweza ni kupiga mashuti Nje ya uwanja.

Anamadhaifu YAFUATAYO.

1. ANACHEZA sehemu ndogo sana uwanjani yani anakimbia kilomita 5 wakati Mzamiru anakimbia 16 kilometa.

2. Uwezo wake wa kukaba ni mdogo mno. Kupora MIPIRA.

3. Mwili wake ni mwepezi mno kucheza kwenye Eneo gumu kama Katikati ya uwanja.

4. Hana sifa ya Box to box midfielder kama Akina kanute Mzamiru na Bajana.

Mzawa atakayerudishwa ni Hassan Dilunga labda na Duchu.
 
Ana tabia ya kutaka kila mara kupiga mashuti sehemu ambayo alitakiwa atoe pasi mbaya zaidi mashuti ni ya hovyo. Kiukweli ni mchezaji wa kawaida na alipokuwa Simba alipewa nafasi na hakuna maajabu alionyesha labda kama ameimprove
Mpaka anafikiriwa Kurejeshwa ina maana kaonekana Kaimarika na nimetaarifiwa kuwa Kocha Mwenyewe ndiyo Kampendekeza.
 
Ndemla anachoweza ni kupiga mashuti Nje ya uwanja.

Anamadhaifu YAFUATAYO.

1. ANACHEZA sehemu ndogo sana uwanjani yani anakimbia kilomita 5 wakati Mzamiru anakimbia 16 kilometa.

2. Uwezo wake wa kukaba ni mdogo mno. Kupora MIPIRA.

3. Mwili wake ni mwepezi mno kucheza kwenye Eneo gumu kama Katikati ya uwanja.

4. Hana sifa ya Box to box midfielder kama Akina kanute Mzamiru na Bajana.

Mzawa atakayerudishwa ni Hassan Dilunga labda na Duchu.
Kaimarika kuliko Wengi wenu mnavyojua.
 
Uyo nmempoteza mno dimbani ndondo
 
Ana tabia ya kutaka kila mara kupiga mashuti sehemu ambayo alitakiwa atoe pasi mbaya zaidi mashuti ni ya hovyo. Kiukweli ni mchezaji wa kawaida na alipokuwa Simba alipewa nafasi na hakuna maajabu alionyesha labda kama ameimprove
Nakubaliana na wewe lakini nadhani hili ni tatizo la makocha kuliko yeye maana anatakiwa kufuata maelekezo ya Kocha tu. Hata Feisal ana tatizo Hilo nyakati Fulani mbona amejirekebisha?
 
Ni Mchezaji ambaye sijui Mpuuzi gani ndani ya Simba SC alishauri atolewe kwa Mkopo.

Said Hamis Ndemla ni Kiungp mwenye Kipaji kikubwa cha Soka na ana Faida kadhaa Kukaba, Kupiga Mashuti ni mzuri katika namba zote za Kiungo ile ya Sita na Nane na huzitendea haki.

Anaondoka Mkude niliyemlea Mwenyewe Biafra, Kawe na Tandale sasa anajuna Mdogo wangu Ndemla niliyemlea Mwenyewe Viwanja vya Barafu, Kinesi na Kitaani Migo Migo ( Magomeni )

Naomba arudishwe kweli SSC.
Huyu mchezaji anasifika kwa kupiga mashuti, cha ajabu mashuti yake akipiga 10 moja tuu ndio linalenga goli
 
Ana tabia ya kutaka kila mara kupiga mashuti sehemu ambayo alitakiwa atoe pasi mbaya zaidi mashuti ni ya hovyo. Kiukweli ni mchezaji wa kawaida na alipokuwa Simba alipewa nafasi na hakuna maajabu alionyesha labda kama ameimprove
Naunga mkono hii hoja, ana ujinga mwingi hasa huo wa kupiga mashuti yanayopaa.
 
Nakubaliana na wewe lakini nadhani hili ni tatizo la makocha kuliko yeye maana anatakiwa kufuata maelekezo ya Kocha tu. Hata Feisal ana tatizo Hilo nyakati Fulani mbona amejirekebisha?
Makocha wangapi wamepita Simba na wakawa wanamwacha ni tatizo lake hata Singida mechi nyingi walikuwa wanamweka benchi
 
Back
Top Bottom