Kama ni kweli ninapinga kwa Papi Ousmane Sakho 'Kutemwa' Simba SC

Kama ni kweli ninapinga kwa Papi Ousmane Sakho 'Kutemwa' Simba SC

Yatakuwa ni maajabu ya Dunia Simba kumwachq yule mtoto Sakho....kaama kina ulazima, wamttoe Wawa, Mugalu au Nyoni!
Halafu Kuna watu wanamtukana Boko,mwisho wa msimu ndiye mfungaji Bora ,hebu mwachemi mwenye Ligi yake Hadi atakapo staafu
Hivi,ni kweliSimba ilikuwa inamhitaji Chama au ndiyo.kuogopa kuwa angeenda Yanga!
Simba wakimwacha tu anaenda Yanga!
 
VP bAada ya mechi ya azam __? Bado ni taKatAka
Mkuu Natambua kipaji cha hali ya juu alichonacho bwana mdogo Ousmane Sakho, iyo komenti yangu ilikuwa na lengo la kumvuruga tu huyo Popoma alieanzisha huu uzi kwa maana huwa ananisababishia ban humu jukwaani
 
Back
Top Bottom