Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,274
- 12,244
Muulize Mama yako ndio anajua nimechangia sh ngapi.Wewe umechangia shilingi ngapi kwenye usajili?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize Mama yako ndio anajua nimechangia sh ngapi.Wewe umechangia shilingi ngapi kwenye usajili?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
VP bAada ya mechi ya azam __? Bado ni taKatAkaOusmane Sakho ni takataka tu hakuna mchezaji hapo, kiufupi sajili zote za Simba msimu huu ni magarasa tupu
Hujui mpirA wwMchezaji mzuri hasubiriwi eti kwa kupewa muda.
Sackho
Duncan
Mugalu
Hawa ni wakusitishiwa mikataba yao.
Hawana cha ajabu.
Wana rukaruka tu kiwanjani.
Simba wakimwacha tu anaenda Yanga!Yatakuwa ni maajabu ya Dunia Simba kumwachq yule mtoto Sakho....kaama kina ulazima, wamttoe Wawa, Mugalu au Nyoni!
Halafu Kuna watu wanamtukana Boko,mwisho wa msimu ndiye mfungaji Bora ,hebu mwachemi mwenye Ligi yake Hadi atakapo staafu
Hivi,ni kweliSimba ilikuwa inamhitaji Chama au ndiyo.kuogopa kuwa angeenda Yanga!
Mkuu Natambua kipaji cha hali ya juu alichonacho bwana mdogo Ousmane Sakho, iyo komenti yangu ilikuwa na lengo la kumvuruga tu huyo Popoma alieanzisha huu uzi kwa maana huwa ananisababishia ban humu jukwaaniVP bAada ya mechi ya azam __? Bado ni taKatAka
Mkuu natambua kipaji cha hali ya juu alichonacho bwana mdogo Ousmane Sakho, iyo komenti yangu ilikuwa na lengo la kumvuruga tu Popoma kwa maana huwa ananisababishia ban humuUpewe tunguli