Hizi habari za kusikitisha na kuumiza sana kwa wakazi Ubungo,
Nilivyosikia ni kuwa Stand ya Simu2000 inataka kubadilishwa matumizi na kuwa KARAKANA YA DART,
Kama habari hii ni yaukweli basi niswala lakusikitisha na kuwakosea wanaubungo.
Kubadilisha Matumizi ya stand hii na Soko ni muendelezo wa uporaji na unyanyasaji wa wananchi wanyonge ambao wanatafuta chochote kitu kutokana na uwepo wa stand hiyo na soko pia.
Nikiangalia kwa mapana zaidi naenda kuona eneo hilo likielekea kufa kiuchumi na hata wakazi na wananchi wa hapo wanaeleka kufa kiuchumi.
Nachoshangaa nikuwa eneo hilo lina mbunge ambaye ni waziri, mkuu wa wilaya ambaye ni kijana na diwani ambaye nikijana pia hivi unaachaje wananchi wako wa pale takribani elfu 10 wanaenda kufa kiuchumi na nyinyi mpo tu katika eneo hilo. Pia Halmashauri inaenda kupoteza chanzo muhimu cha mapato
Nilivyosikia nikuwa karibia Milioni 600 hukusanywa kila mwaka katika eneo hilo, Hizi pesa zinazokusanywa tu hapa, kwenye halmashauri zingine ndio pato la ndani la halmashauri yote kwa mwaka mzima.
Kuifanya eneo hilo kuwa Karakana nikuwakosea wafanyabiashara elfu 3 waliopo eneo hilo kuwakosea wakazi wa Ubungo na kuwakosea watumiaji wa stand hiyo takribani elfu 40 wanaopita na kufanya matumizi ya hiyo stand.
Niwakumbushe tu 2025 siyo mbali na mnamuonea Mh Rais kwa kumsingizia kuwa kila agizo linatoka kwake, tunapata shida sana sisi kama wadau kuendelea kuzungumzia mazuri ya Mh Raisi wakati kunawatendaji wake ambao wanaharibu kila kukicha.
Mdau wa Maendeleo Tanzania
Se-chando
Nilivyosikia ni kuwa Stand ya Simu2000 inataka kubadilishwa matumizi na kuwa KARAKANA YA DART,
Kama habari hii ni yaukweli basi niswala lakusikitisha na kuwakosea wanaubungo.
Kubadilisha Matumizi ya stand hii na Soko ni muendelezo wa uporaji na unyanyasaji wa wananchi wanyonge ambao wanatafuta chochote kitu kutokana na uwepo wa stand hiyo na soko pia.
Nikiangalia kwa mapana zaidi naenda kuona eneo hilo likielekea kufa kiuchumi na hata wakazi na wananchi wa hapo wanaeleka kufa kiuchumi.
Nachoshangaa nikuwa eneo hilo lina mbunge ambaye ni waziri, mkuu wa wilaya ambaye ni kijana na diwani ambaye nikijana pia hivi unaachaje wananchi wako wa pale takribani elfu 10 wanaenda kufa kiuchumi na nyinyi mpo tu katika eneo hilo. Pia Halmashauri inaenda kupoteza chanzo muhimu cha mapato
Nilivyosikia nikuwa karibia Milioni 600 hukusanywa kila mwaka katika eneo hilo, Hizi pesa zinazokusanywa tu hapa, kwenye halmashauri zingine ndio pato la ndani la halmashauri yote kwa mwaka mzima.
Kuifanya eneo hilo kuwa Karakana nikuwakosea wafanyabiashara elfu 3 waliopo eneo hilo kuwakosea wakazi wa Ubungo na kuwakosea watumiaji wa stand hiyo takribani elfu 40 wanaopita na kufanya matumizi ya hiyo stand.
Niwakumbushe tu 2025 siyo mbali na mnamuonea Mh Rais kwa kumsingizia kuwa kila agizo linatoka kwake, tunapata shida sana sisi kama wadau kuendelea kuzungumzia mazuri ya Mh Raisi wakati kunawatendaji wake ambao wanaharibu kila kukicha.
Mdau wa Maendeleo Tanzania
Se-chando