Kama ni kweli Ushirikina au uchawi upo maeneo yote nchini kwanini wengine wamepiga hatua kimaendeleo kuliko wengineo?

Kama ni kweli Ushirikina au uchawi upo maeneo yote nchini kwanini wengine wamepiga hatua kimaendeleo kuliko wengineo?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Naambiwa kuwa mikoa/ Wilaya/ kata/ vijiji vyote tanzania vina Imani za Ushirikina/uchawi

Ndugu kama huo ndiyo ukweli kuwa Imani hizo za Ushirikina ziko maeneo yote nchini,

Swali langu kwanini baadhi ya Mikoa

imepiga hatua kubwa kimaendeleo na watu wake wamestawi kuliko wengineo?

Imetoa wasomi na inaendelea kutoa wasomi wengi zaidi kuliko mingine?

Ndugu zangu mada hii ni nyeti sana hivyo ni vema ukatafakari kabla ya kutoa maoni yako.

Niwatakie sabato njema
 
Swali langu kwanini baadhi ya Mikoa

imepiga hatua kubwa kimaendeleo na watu wake wamestawi kuliko wengineo?

Imetoa wasomi na inaendelea kutoa wasomi wengi zaidi kuliko mingine?
Sasa mkuu mbona jibu la maswali yako lipo hapo hapo?

Wameendelea kwa sababu watu wameelimika na kuachana na hayo mambo. Huwezi kuitwa msomi pasipo kuwa umeelimika, hatua kubwa za kimaendeleo zimekuja baada ya kupata elimu.
 
Back
Top Bottom