#COVID19 Kama ni kweli waliochanja chanjo ya Corona hawazidi laki 4 hadi sasa basi Waziri wa Afya na Naibu wake wajiuzulu

Nadhani wanachama wa Chadema ni chini ya laki 1.
 
Aliyepitisha chanjo bila kutathmini utayari wa wananchi kuipokea ndiye anayepaswa kuachia ngazi.

Laniki yawezekana waziri na naibu waziri wamekula njama waihujumu kampeni ya chanjo. Mimi sijui.
Sio tunamshukuru kwa kuleta chanjo. Binafsi nimechanjwa. Kama mnaona mnamkomesha mama kwa kutochanjwa basi endeleeni.
 
Siso tumamshukuru kwa luleta chanjo. Binafsi nimechanjwa. Kama mnaona mnamkomesha mama kwa kutochanjwa basi endeleeni.
Mimi nikisafiri kwenda nje ya nchi nitachanja huko huko. Tanzania kuna utapeli mwingi sana. Kama wanaweza kuendesha chaguzi feki, na kutangaza mapato feki huku kiuhalisia siyo watashindwa kutupiga chanjo feki?

Wewe chanja tu. Mimi nitaenda kule kunakoaminika nikachanje huko. Hapa hata wakisema wameleta Moderna au Pfizer sitaziamini.
 
Tulieni ninyi Mataga...

Acheni chuki kwa Mama.

Chanjo ni hiyari... So wataka hiyari iwe zaidi ya hiyari.
 
Umenikumbusha kitu kwenye masoko watu wameshika lile la Kwanza, hivyo usishangae hata kwenye biashara anaeanza ndio ana advantage mfano Akina Vodacom etc.
 
iso tumamshukuru kwa luleta chanjo. Binafsi nimechanjwa. Kama mnaona mnamkomesha mama kwa kutochanjwa basi endeleeni.

Mama pia yeye hajachanja, yeye atakuwa anamkomoa nani?
 
Haifai kuwatoa hao pekee yao kuwa kafara,ila ccm yote,kwani kwa umoja wao waliendesha kampeni kupinga uwepo wa korona na hatimae kukataa hatua za kitaalamu za Kinga kwa kuhamasisha kutokuwa na hofu,na kuhamasisha kwa kipindi fulani kuwa chanjo sii salama,Bila kuwa na ushahidi wa kitabibu juu ya hoja zao.
 
Kweli,nchi nyingine ziliteketeza chanjo baada ya kugundua zime expire.
Hizi zetu hatuambiwi Zina expire lini,Wala riport hata ya mtu mmoja aliyepatwa na Jambo lolote baada ya kuchanjwa hakuna.
Kuna usiri mwingi ndo watu hawana imani Tena.
 
Ni suala la kuipongeza wizara kwa kuzielewa falsafa za jeshi jpm. Sie watz tuko na mwamba day&night
 
Haiwezekani watu walioleta tatizo kwa ujinga wao walitatue tena wao. Na mbaya zaidi hawakuomba radhi kuwa mwanzoni walikosea. Anyways, hili suala la chanjo ni uamuzi wa mtu binafsi. Wanasiasa wengi wenye umri mkubwa au magonjwa nyemelezi kama kina Ndugai walishachanja zamani hivyo hawawezi kuhangaika sana. Hata mama Samia mwenyewe ukiambia alikuwa hajachanjwa nitakataa. Iliyobaki ni jukumu la watu wenye elimu kuhimiza watu wao wa karibu hasa wale waliyo kwenye umri zaidi ya miaka 35 au wenye magonjwa nyemelezi kuchanjwa kwani faida ni kwa mtu mwenyewe. Walikufa na wanaendelea kufa wengi kwa korona na serikali hainyeshi kushtuka hivyo mtu asipochanjwa ni yeye mwenyewe anajikomoa.
 
Chanjo ni hiari we bwege.
 
iso tumamshukuru kwa luleta chanjo. Binafsi nimechanjwa. Kama mnaona mnamkomesha mama kwa kutochanjwa basi endeleeni.

Mama pia yeye hajachanja, yeye atakuwa anamkomoa nani?
Kamanda mwenzangu leo upo sawa. Lakini hii chanjo itakukinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…