Kama ni Mshongo soma hii

Babylon

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2009
Posts
1,332
Reaction score
83
Kama umeowa wa kuolewa lakini unae mtu wako wa pembeni (undercover lover) kwa mapenzi ya ziada ambaye hutaki mkeo au mume ajuwe (aelewe) hakikisha sabuni unayotumia nyumbani wakati wa kukoga vile vile umeiweka kwa mpenzi wako yakiwemo na manukato unayotumia katika nyumba kubwa ,hii inasaidi mama watoto au mume kutojuwa kama ulimsalili kwani wanawake ni hodari kujuwa harufu ya sex, kuviweka vitu kama hivyo kwa hawara wako inamzuwiya mama watoto au baba watoto kuelewa nini kinaendele na kumucha solemba .
 
good to share!

Ila ndugu, humu kuna maprof, tafuta nyuzi zao zitakusaidia.
Watu wanacheat hadi wanajicheat wao wenyewe na hawajikamati kwa jinsi maujuzi yalivyo makubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…