Kama ni muhimu kuwa na cheo cha Naibu Waziri Mkuu, kwanini hakiwekwi kwenye Katiba na mafao yake yakafahamika?

Kama ni muhimu kuwa na cheo cha Naibu Waziri Mkuu, kwanini hakiwekwi kwenye Katiba na mafao yake yakafahamika?

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2023
Posts
930
Reaction score
1,304
Cheo cha Naibu Waziri kuu hakipo kwenye katiba iliyopo lakini Marais waliotangulia waliwahi kumteua hayati Mrema na Salim Ahmed Salim kukitumikia cheo hicho.

Jana Rais Samia kamteua Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakipo kwenye Katiba. Najiuliza kama cheo hiki cha Unaibu Waziri Mkuu kina tija kiutendaji kwanini hakiingizwi kwenye katiba?

Nauliza hivyo kwa sababu hata mafao ya cheo hicho hayajulikani na mwisho wa siku mhusika baada ya kukitumikia cheo hicho anapodai mafao yake huyakosa na huambiwa aonyeshe wapi katiba inayataja. Mfano mzuri ni hayati Augustino Mrema aliyadai bila mafanikio.
 
Cheo cha Naibu Waziri kuu hakipo kwenye katiba iliyopo lakini Marais waliotangulia waliwahi kumteua hayati Mrema na Salim Ahmed Salim kukitumikia cheo hicho.

Jana Rais Samia kamteua Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakipo kwenye Katiba. Najiuliza kama cheo hiki cha Unaibu Waziri Mkuu kina tija kiutendaji kwanini hakiingizwi kwenye katiba?

Nauliza hivyo kwa sababu hata mafao ya cheo hicho hayajulikani na mwisho wa siku mhusika baada ya kukitumikia cheo hicho anapodai mafao yake huyakosa na huambiwa aonyeshe wapi katiba inayataja. Mfano mzuri ni hayati Augustino Mrema aliyadai bila mafanikio.
Hakina umuhimu wowote na ndo maana Naibu Waziri Mkuu wa mchongo wa mwisho alikuwepo miaka 30 iliyopita na baada ya hapo Hakuna aliyewahi kushika Cheo hicho na Hakuna kilichopungua.
 
Probably naibu atakua anakula mtonyo na posho kama senior wake kwasababu wote ni wateule na tofauti yao ni junior ndie mteule wa mama na senior alikua mteule wa mrangulizi wa mama.

Na tambua kwamba hadi sasa wote wana report kwa mama, pia majukumu yao wanapangiwa na mama.
Kimtazamo, senior anatakiwa ajiuzulu ama akanyage ardhi kwa adabu sana.
 
Cheo cha Naibu Waziri kuu hakipo kwenye katiba iliyopo lakini Marais waliotangulia waliwahi kumteua hayati Mrema na Salim Ahmed Salim kukitumikia cheo hicho.

Jana Rais Samia kamteua Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakipo kwenye Katiba. Najiuliza kama cheo hiki cha Unaibu Waziri Mkuu kina tija kiutendaji kwanini hakiingizwi kwenye katiba?

Nauliza hivyo kwa sababu hata mafao ya cheo hicho hayajulikani na mwisho wa siku mhusika baada ya kukitumikia cheo hicho anapodai mafao yake huyakosa na huambiwa aonyeshe wapi katiba inayataja. Mfano mzuri ni hayati Augustino Mrema aliyadai bila mafanikio.
Ni matumizi mabaya ya mali za umma
 
Probably naibu atakua anakula mtonyo na posho kama senior wake kwasababu wote ni wateule na tofauti yao ni junior ndie mteule wa mama na senior alikua mteule wa mrangulizi wa mama.
Na tambua kwamba hadi sasa wote wana report kwa mama, pia majukumu yao wanapangiwa na mama.
Kimtazamo, senior anatakiwa ajiuzulu ama akanyage ardhi kwa adabu sana.
Wanatuongezea mzigo walipa kodi bila sababu za msingi
 
Sijamsikia popote Makamu Mwenyekiti wa Chadema Wakili msomi mh Tundu Lisu akihoji Uteuzi wa Naibu Waziri mkuu

Kwa maana hiyo hakuna kipengere chochote cha Katiba kilichokiukwa

Mlale unono 😀😀
Lissu keshakwambia tatizo hapa ni Katiba inayompa Rais Umungu mtu!!! Kwanini hutumii akili lakini?
 
Sijamsikia popote Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Wakili msomi Tundu Lissu akihoji Uteuzi wa Naibu Waziri Mkuu.

Kwa maana hiyo hakuna kipengere chochote cha Katiba kilichokiukwa

Mlale unono 😀😀
Naunga mkono hoja, japo huko alipo najua kuna watu wanamlazimisha aseme chochote cha kupinga hata kama atachopinga kitakuwa hakina ushahidi.
 
Sijamsikia popote Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Wakili msomi Tundu Lissu akihoji Uteuzi wa Naibu Waziri Mkuu.

Kwa maana hiyo hakuna kipengere chochote cha Katiba kilichokiukwa

Mlale unono [emoji3][emoji3]
Lissu sio lopolopo kama wewe Jo.. Mambo ya ccm kupeana vyeo sio kipaumbele chake wala cha CHADEMA
 
Back
Top Bottom