Kama nimefanya kwa fujo na anayetumia ARV napata sipati?

Kama ulijua anatumia na ukafanya kwa fujo UNAPATA, ila kama hukujua hiyo Inaswihi Mkuu..lakini kwa jinsi ulivyouliza kifedhuli itakuwa Tayari kimeumana
 
 
Ulifanyaje kwa fujo wakati unajua kabisa kuwa K haikomolewi?
 
Duh kazi ipo kweli kweli, huu ugonjwa feki utazidi kuwasomba wapumbavu wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…