Kama Nyerere Aliwachukia Waislam kwa Nini Alivunja Uhusiano na Israeli?

Kama Nyerere Aliwachukia Waislam kwa Nini Alivunja Uhusiano na Israeli?

Status
Not open for further replies.

NdasheneMbandu

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2012
Posts
940
Reaction score
308
Wandugu,

Ukisikiliza mahubiri ya ustaadhi ilunga unaweza kubaini namna waislam wanavyomchukia Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kama ndiye kiongozi aliyewanyima fursa ya maendeleo ya kielimu.

Lakini nimepata taarifa kuwa Baba wa Taifa alivunja uhusiano na Israel kwa sababu tu ya mahusiano mabaya na wapalestina.

Kama Baba wa Taifa alikuwa anawachukia waislam kiasi hicho kwa nini alichukua hatua hiyo nzito na hasa ukizingatia kuwa Israel ilikuwa tayari imejikita nchini kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi?
 
Wandugu,

Ukisikiliza mahubiri ya ustaadhi ilunga unaweza kubaini namna waislam wanavyomchukia Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kama ndiye kiongozi aliyewanyima fursa ya maendeleo ya kielimu.

Lakini nimepata taarifa kuwa Baba wa Taifa alivunja uhusiano na Israel kwa sababu tu ya mahusiano mabaya na wapalestina. Kama Baba wa Taifa alikuwa anawachukia waislam kiasi hicho kwa nini alichukua hatua hiyo nzito na hasa ukizingatia kuwa Israel ilikuwa tayari imejikita nchini kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi?
Kwa sababu ya Kanisa lake!

Kanisa Katoliki lina ishu na Mayahudi (rejea Historia ya Mayahudi Europe) ingawa siku hizi kidogo linaonyesha kuwakubali Mayahudi.

Vilevile Palestine kuna idadi nzuri tu ya Wakristo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom