Kama Polisi wana sababu kuwakamata viongozi CHADEMA na hawafanyi kazi kwa maagizo ya CCM, walipaswa kulikataa agizo la Nchimbi

Kama Polisi wana sababu kuwakamata viongozi CHADEMA na hawafanyi kazi kwa maagizo ya CCM, walipaswa kulikataa agizo la Nchimbi

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Mara nyingi nimesema kwamba Polisi Tanzania wanafanya kazi kwa namna ambayo ni very unprofessional na kwa lengo la kuwafurahisha CCM. Wanajikomba, wanajipendekeza kwa CCM kupita kiasi, hadi inatia aibu na kichefuchefu.

Sasa katika tukio la Mbeya la viongozi wa Chadema kukamatwa, Dr. Nchimbi ametoa agizo kinamna kwamba Polisi wawaachie viongozi wa Chadema waliowakamata. Sasa kama Polisi walikuwa na sababu za msingi kuwakamata viongozi wa Chadema, basi watoe tamko la hadhara kumwambia Dr. Nchimbi sisi Polisi hatufanyi kazi kwa maagizo ya CCM, na hatutawaachia viongozi wa Chadema.

Na upande wa pili, viongozi wa Chadema wasikubali hizi drama za kipumbavu zinazofanywa na Polisi. Wadai haki yao ya kupelekwa mahakamani kwa kosa walilokamatiwa. Wasipopelekwa, au wakipelekwa wakashinda hiyo kesi, wawafungulie mashitaka binafsi ya madai viongozi wa Polisi wa juu na waliohusika na ujinga huu.

Ifikie mahali Polisi walipe kutokana na ukosefu wa akili wanaoufanya mara kwa mara. Tumechoka sana na hili genge la wajikombaji wa CCM wanaojiita Polisi.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
 
Nape: ccm ni mwenye duka, na serikali ni muuza duka la ccm.

My take: si vibaya kumuelekeza mfanyakazi wa duka laki nini cha kuongeza au kupunguza dukani kwako.
 
Mara nyingi nimesema kwamba Polisi Tanzania wanafanya kazi kwa namna ambayo ni very unprofessional na kwa lengo la kuwafurahisha CCM. Wanajikomba, wanajipendekeza kwa CCM kupita kiasi, hadi inatia aibu na kichefuchefu.

Sasa katika tukio la Mbeya la viongozi wa Chadema kukamatwa, Dr. Nchimbi ametoa agizo kinamna kwamba Polisi wawaachie viongozi wa Chadema waliowakamata. Sasa kama Polisi walikuwa na sababu za msingi kuwakamata viongozi wa Chadema, basi watoe tamko la hadhara kumwambia Dr. Nchimbi sisi Polisi hatufanyi kazi kwa maagizo ya CCM, na hatutawaachia viongozi wa Chadema.

Na upande wa pili, viongozi wa Chadema wasikubali hizi drama za kipumbavu zinazofanywa na Polisi. Wadai haki yao ya kupelekwa mahakamani kwa kosa walilokamatiwa. Wasipopelekwa, au wakipelekwa wakashinda hiyo kesi, wawafungulie mashitaka binafsi ya madai viongozi wa Polisi wa juu na waliohusika na ujinga huu.

Ifikie mahali Polisi walipe kutokana na ukosefu wa akili wanaoufanya mara kwa mara. Tumechoka sana na hili genge la wajikombaji wa CCM wanaojiita Polisi.

View: https://twitter.com/Mwanahalisitz/status/1823252319720329332?t=peiBXTmpZ_OrYMofA9md9g&s=19
 
Nape: ccm ni mwenye duka, na serikali ni muuza duka la ccm.

My take: si vibaya kumuelekeza mfanyakazi wa duka laki nini cha kuongeza au kupunguza dukani kwako.
Hiyo ni philosophy ya Nape, inayopingana na Katiba, na ni kwa kauli kama hizi na CCM wameshindwa kumvumilia
 
Kwa kweli viongozi wa Chadema wasipowafunguliq polisi kesi nitahama.
Nchimbi kawaweka Polisi katika mtego mbaya bila kujua, na ni kwa kuwa viongozi wetu hawafikirii mbali kabla ya kuongea. Kama Dr. Nchimbi angekuwa na busara, hili agizo alipaswa kulitoa kimya kimya, lakini akadhani kwamba litampa ujiko kwa Chadema kwamba amewatetea!
 
Mara nyingi nimesema kwamba Polisi Tanzania wanafanya kazi kwa namna ambayo ni very unprofessional na kwa lengo la kuwafurahisha CCM. Wanajikomba, wanajipendekeza kwa CCM kupita kiasi, hadi inatia aibu na kichefuchefu.

Sasa katika tukio la Mbeya la viongozi wa Chadema kukamatwa, Dr. Nchimbi ametoa agizo kinamna kwamba Polisi wawaachie viongozi wa Chadema waliowakamata. Sasa kama Polisi walikuwa na sababu za msingi kuwakamata viongozi wa Chadema, basi watoe tamko la hadhara kumwambia Dr. Nchimbi sisi Polisi hatufanyi kazi kwa maagizo ya CCM, na hatutawaachia viongozi wa Chadema.

Na upande wa pili, viongozi wa Chadema wasikubali hizi drama za kipumbavu zinazofanywa na Polisi. Wadai haki yao ya kupelekwa mahakamani kwa kosa walilokamatiwa. Wasipopelekwa, au wakipelekwa wakashinda hiyo kesi, wawafungulie mashitaka binafsi ya madai viongozi wa Polisi wa juu na waliohusika na ujinga huu.

Ifikie mahali Polisi walipe kutokana na ukosefu wa akili wanaoufanya mara kwa mara. Tumechoka sana na hili genge la wajikombaji wa CCM wanaojiita Polisi.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Polisi yetu na ccm yao ni genge hatari kwa Watanzania, tuwapinge daima.
 
Nchimbi kawaweka Polisi katika mtego mbaya bila kujua, na ni kwa kuwa viongozi wetu hawafikirii mbali kabla ya kuongea. Kama Dr. Nchimbi angekuwa na busara, hili agizo alipaswa kulitoa kimya kimya, lakini akadhani kwamba litampa ujiko kwa Chadema kwamba amewatetea!
Hueleweki boss.
 
Hii ni akili ndogo sana ya Polisi, kwa sababu kama Tanzania wakiamua kufanya kama Kenya, hilo halitafanyikia Mbeya. Kwa hiyo haya matamko ni kelele za mtu asie na uwezo wa kuona mbali na ku reason
Litafantika wapi?
 
Hueleweki boss.
Yaani, Polisi walijua kwamba kuwaachia Chadema kwa kuwa Dr. Nchimbi kasema ingekuwa wanadhihirisha wanafanya kazi kwa maelekezi ya CCM. Ni kama vile mie nikamatwe nimeagiza njemba zibake binti wa watu halafu Dr. Nchimbi awaambie Polisi watafute namna ya kuniachia.

Na kitendo cha polisi kuwaachia viongozi ni wazi sio suala la dhamana au nini, ni kwamba imebidi watii agizo la Dr. Nchimbi, boss wao, lakini watafute namna ya kujikosha kwamba unajua tumewasindikiza, wana dhamana nk. Upuuzi mtupu. Humfungulii mtu kwa kosa la kukusudia kufanya uhalifu bila vitendea kazi vya kufanyia huo uhalifu. Huyo DPP wamatamwambia awafungulie mashitaka gani hawa viongozi wa Chadema? Kosa la kusafiri kwenda Mbeya?
 
Back
Top Bottom