Kama Putin aliivamia Ukraine kwakuwa ilikuwa tishio kwa usalama wa URUSI. Je, Poland haitavamiwa pia kwa usalama wa Urusi?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Marekani na NATO kumpeleka vifaa na mitambo ya kivita Poland haitapelekea baadaye Urusi kuivamia Poland?

Kama Mrusi ameweza kuizingira Ukraine na kilichobaki ni majeshi kunyoosha mikono tu kisha atangaze wananchi wakimbizi warudi nyumbani maisha yaendelee.

Hatua itakayofuata ni kuivamia Poland kwakuwa itakuwa hatari kwa usalama wa URUSI?

Poland wajiongeze wasimsikilize Mmarekani. Siku akivamiwa atawatosa kama alivyofanya kwa nchi ya Ukraine.

Asisingizie sijui Ukraine hayuko NATO, alivyoweka maabara za kiutafiti za silaha za kibaiolojia Ukraine alikuwa member wa NATO?

Nchi zote ambazo US alipeleka wanajeshi ziko NATO?
 
wakati nyie wapiga domo mnaona china ni Giant wa kuitetelesha marekani, wamarekani wao wanalalamika pesa yao ya kodi inayokwenda China.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…