Kama Raia wa Zambia, Rwanda na Kongo wananunua bidhaa kwa bei pungufu nchini kwao zaidi ya Mtanzania, je kuna umuhimu wa kuwa na bandari?

Kama Raia wa Zambia, Rwanda na Kongo wananunua bidhaa kwa bei pungufu nchini kwao zaidi ya Mtanzania, je kuna umuhimu wa kuwa na bandari?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Binafsi sioni umuhimu wa kuwa na bandari. Kama bandari inatoa ajira hata tukiiuza mwekezaji ataajiri pia.

Kama Watanzania tulipaswa kuwa na unafuu wa katika manunuzi ya bidhaa kuliko nchi nyingi za magharibi ambazo hazina bandari.

Kwanza ndio tunamiliki, pili geographical factors, kwamba bidhaa zikifika bandarini zinaingia sokoni Kariakoo Moja kwa moja tofauti na nchi zingine ambazo kuna gharama zingine za usafirishaji.

Lakini kinyume chake ni aibu. Madereva wa malori na Watanzania wengine wanaosafiri bidhaa kama simu , TV wanakwenda kununua nchi ambazo bidhaa zao wanapitisha bandari zetu ili kupata unafuu.

Bandari iuzwe tu kama CCM imeshindwa kudhibiti kodi.
 
Tatizo sio bandari bali ni kodi kubwa inayotozwa bidhaa zinazoingia nchini kwani ndio chanzo pekee cha uhakika kwenye mapato ya serikali,wenzetu hawategemei hilo na 'Singida Big Stars' hajui la kufanya zaidi ya hapo.
 
Tatizo na uwezo mdogo wa watawala na ufisadi wa kupindukia ndani ya Serikali. Tanzania kuna kodi utitiri na kubwa. Kodi zenyewe zimekaa kitapeli sana. Zinawekewa majina mengi ilitu isionekane ni kodi kubwa. Mathalani badala ya kuweka wazi kuwa bidhaa X, kodi yake ni 70%; wanayumbulisha na kuzifanya ziwe kodi 10.

Watasema kodi ya ukaguzi 5%
Kodi ya osha 5%
Kodi ya mauzo 15%
Kodi ya mtaji 10%
Wakala wa vipimo 10%
Kodi ya TBS 10%
VAT 18%
Kodi ya zuio 5%
Kodi ya mtaji 5%
Kodi ya NEMC 5%

Wakati, kiuhalisia, kodi hizo zote zinapelekwa serikalini. Fikiria kwenye viwanda kuna kodi, ushuru na tozo, jumla yake zinafika 38. Halafu utegemee kuwe na viwanda!! Lazima uwe really stupid.
 
Tatizo na uwezo mdogo wa watawala na ufisadi wa kupindukia ndani ya Serikali. Tanzania kuna kodi utitiri na kubwa. Kodi zenyewe zimekaa kitapeli sana. Zinawekewa majina mengi ilitu isionekane ni kodi kubwa. Mathalani badala ya kuweka wazi kuwa bidhaa X, kodi yake ni 70%; wanayumbulisha na kuzifanya ziwe kodi 10.

Watasema kodi ya ukaguzi 5%
Kodi ya osha 5%
Kodi ya mauzo 15%
Kodi ya mtaji 10%
Wakala wa vipimo 10%
Kodi ya TBS 10%
VAT 18%
Kodi ya zuio 5%
Kodi ya mtaji 5%
Kodi ya NEMC 5%

Wakati, kiuhalisia, kodi hizo zote zinapelekwa serikalini. Fikiria kwenye viwanda kuna kodi, ushuru na tozo, jumla yake zinafika 38. Halafu utegemee kuwe na viwanda!! Lazima uwe really stupid.
Tatizo liko kwa wananchi, Mimi nadhani
 
K
Binafsi sioni umuhimu wa kuwa na bandari. Kama bandari inatoa ajira hata tukiiuza mwekezaji ataajiri pia.

Kama Watanzania tulipaswa kuwa na unafuu wa katika manunuzi ya bidhaa kuliko nchi nyingi za magharibi ambazo hazina bandari.

Kwanza ndio tunamiliki, pili geographical factors, kwamba bidhaa zikifika bandarini zinaingia sokoni Kariakoo Moja kwa moja tofauti na nchi zingine ambazo kuna gharama zingine za usafirishaji.

Lakini kinyume chake ni aibu. Madereva wa malori na Watanzania wengine wanaosafiri bidhaa kama simu , TV wanakwenda kununua nchi ambazo bidhaa zao wanapitisha bandari zetu ili kupata unafuu.

Bandari iuzwe tu kama CCM imeshindwa kudhibiti kodi.
mmk waTanzania wasenge wasenge!i hate all those motherfucker
 
Back
Top Bottom