ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Huyo wa Rais wa huko licha ya kuwa na miaka 82 ni mtu mwema, siyo mwizi Dikiteta Mbowe, tofauti yake na mbowe ni kubwa sana, kumbuka Mbowe yeye ni mwizi wa pesa za chama anapenda Rushwa ya ngono kwa vitiItakuwa aibu bwana Mwenyekiti Mbowe kukimbia vinyago alivyocuonga mwenyewe na kukabidhi chama Kwa wahuni na vibaraka wa Mabeberu.
Wazee wanagombea huko Ivory Coast mara ya 4 sembuse wewe Mbowe kijana una Nguvu harafu mbichi kabisa πππππ.
Twende kazi Mwamba Mbowe ππ
View: https://x.com/ReutersAfrica/status/1877319595381436905?t=eb9BYkl7TfX76c4wXzHBNA&s=19
Kibaraka wenu amewaambia aliiba Shilingi ngapi?Huyo wa Rais wa huko licha ya kuwa na miaka 82 ni mtu mwema, siyo mwizi Dikiteta Mbowe, tofauti yake na mbowe ni kubwa sana, kumbuka Mbowe yeye ni mwizi wa pesa za chama anapenda Rushwa ya ngono kwa viti
Ameiba bei gani?Mbowe ni mwizi, hawezi fananishwa na Huyo mzee
Tunalinganisha hoja ya umri maana mnasingizia uzeeIvory coast inahusiana vipi na Tanzania?
Tundu Lissu yeye analinda legacy ya mbowe asiwe kama mugabe kutoka mpigania uhuru hadi kuwa dikteta.
Kweli kabisa, mwamba aendelee hadi awe kΓ ma Trump.Itakuwa aibu bwana Mwenyekiti Mbowe kukimbia vinyago alivyocuonga mwenyewe na kukabidhi chama kwa vibaraka wa Mabeberu.
Wazee wanagombea huko Ivory Coast mara ya 4 sembuse wewe Mbowe kijana una Nguvu halafu mbichi kabisa πππ
Twende kazi Mwamba Mbowe
View attachment 3196648
Haahaa ccm wanabet mbowe spite, ndo maana mpaka msaada unaombwa LumumbaπItakuwa ni ukichaa na uwendawazimu kwa wana CHADEMA kumpatia chama Mropokaji na mkurupukaji kukiongoza.
Lissu kamwe na katu hawezi kuwa Mwenyekiti wa CHADEMAHaahaa ccm wanabet mbowe spite, ndo maana mpaka msaada unaombwa Lumumbaπ
Wewe uliyeandika una miaka mingapi? Unaona ni sawa mtu wa miaka 83 kugombea urais? Nilitegemea upinge kumbe unaunga mkono. Una ujinga mwingi kichwani. Angalia kijana wa miaka 36 huko Burkina Faso anachofanya.Itakuwa aibu bwana Mwenyekiti Mbowe kukimbia vinyago alivyocuonga mwenyewe na kukabidhi chama kwa vibaraka wa Mabeberu.
Wazee wanagombea huko Ivory Coast mara ya 4 sembuse wewe Mbowe kijana una Nguvu halafu mbichi kabisa πππ
Twende kazi Mwamba Mbowe
View: https://x.com/ReutersAfrica/status/1877319595381436905?t=GVDVLwkSqRFgTioS0HDcdg&s=19
Wajumbe ndio wanaamua.Wewe uliyeandika una miaka mingapi? Unaona ni sawa mtu wa miaka 83 kugombea urais? Nilitegemea upinge kumbe unaunga mkono. Una ujinga mwingi kichwani. Angalia kijana wa miaka 36 huko Burkina Faso anachofanya.
Itakuwa aibu bwana Mwenyekiti Mbowe kukimbia vinyago alivyocuonga mwenyewe na kukabidhi chama kwa vibaraka wa Mabeberu.
Wazee wanagombea huko Ivory Coast mara ya 4 sembuse wewe Mbowe kijana una Nguvu halafu mbichi kabisa πππ
Twende kazi Mwamba Mbowe
View: https://x.com/ReutersAfrica/status/1877319595381436905?t=GVDVLwkSqRFgTioS0HDcdg&s=19
Nyie vibaraka wadogo mnajali matumbo ya nani?Machawa mnajali matumbo yenu wananchi wanajali nchi. Tatizo hapa ni sera mpya za wagombea sio umri. Acheni uchawa wenu wa CCM wekeni taifa mbele au nyamazeni. Mama Samia mbona ni mkubwa kuliko Mbowe kwa mwaka moja na miezi