Hivi karibuni tumeona mambo yaliyotokea bungeni kwa Naibu spika kuminya haki za wabunge wa upinzani. Kitendo kilichopelekea wabungea hao kutoka nje na hivyo kuacha mchakato wa maswala ya rasimu kuongelewa na wabunge wa chama tawala tu. na wabunge wawili wa upinzani waliobaki kwa sababu wanazozijua wao. Kitendo hiki si tu kinaminya demokrasia bali kinatupeleka kusiko. Nako ni kwenye uwezekano wa kuwa na mgogoro wa katiba mbeleni.
Mimi kama Mtanzania nayependa nchi yangu nasema sikubaliani na hili jambo katu!
kwa sababu hii sasa maamuzi yangu endapo rasimu itapigiwa kura na kupitishwa na wabunge wachama kimoja. NASEMA HAKIKA SITAPIGA KURA YA KUIKUBALI. HUU ni uamuzi wangu tu kama mzalendo.
Mimi kama Mtanzania nayependa nchi yangu nasema sikubaliani na hili jambo katu!
kwa sababu hii sasa maamuzi yangu endapo rasimu itapigiwa kura na kupitishwa na wabunge wachama kimoja. NASEMA HAKIKA SITAPIGA KURA YA KUIKUBALI. HUU ni uamuzi wangu tu kama mzalendo.