Ikumbukwe taasisi nyingi za serikali ziko Dodoma na wengine wamelazimishwa kuhama wakiwa hawana hata majengo, sasa huyu mpigaji Nehemia Kyando Mchechu anapata wapi uhalali wa kuhamia Morocco Square badala ya kwenda Dodoma, na ikumbukwe mpigaji huyu alikua Mkurugenzi Mkuu wa NHC wamiliki wa hapo anapohamia, Fishy Smell. Mitanzania mijinga sana. na Majaliwa yupo tu anapaka picle kichwani.