Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Simba walishtuka mapema ,huu udhamini wa GSM umehamishwa kwenye marefa,hii ni aibu kubwa.
Yanga hata kama mmepania ubingwa si kwa style hii,mpira umehamia kwa marefa.
Ndo maana Simba ikaona ni upuuzi mdhamini wa ligi anashangilia timu.
Hongereni mwaka huu marefa lazima wawe matajiri.
Yanga hata kama mmepania ubingwa si kwa style hii,mpira umehamia kwa marefa.
Ndo maana Simba ikaona ni upuuzi mdhamini wa ligi anashangilia timu.
Hongereni mwaka huu marefa lazima wawe matajiri.