Kama sijawahi kukuomba hela yako na wewe usiniombe utamu wangu 2025

Unataka upewe sh ngapi ili utoe papuchi
 
Tuambie na bei elekezi ili tutangulize muamala
 
Nani alikwambia Pussy ni equivalent to money? Yaani unaamini uchi wako mwenzake ni pesa? Hiyo K yako ina thamani ya shilingi ngapi ambayo mwanaume akilipia haitaguswa na njemba mwingine?

Me nadhani wanawake mnayakuza sana haya mambo aisee.

K yako mwenzake ni Ududu sio pesa. Pesa mwenzake mali. Wewe kuwa na mali kama nyumba,magari na biashara kubwa halafu muombe mwanaume laki tano au milion uone kama hajaenda hata kukopa akuletee chap.

Sasa ukibisha nitakwambia unionyeshe wanawake waliotajirika kwa kutumia uchi nikuonyeshe wanawake waliochakazwa na kutumika na hawajaambulia mia mbovu.

Wewe kama unataka mwanaume aweke rehani mali zake na pesa zake kwako na wewe kuwa na energy ya utafutaji.

Unaona kabinti kama "Niffer" kale mimi nikidate nako kakiniomba milioni hata 5 nakapa sababu najua hata nikifua kataninyanyua na kuniboost nikae sawa. Sasa wewe mia mbovu huna unataka nitumie pesa zangu kukulipia bili na hakuna ninachopata kwako zaidi ya uchi ambao huko nje umejaa kila kona ni kuitishia tu,wewe unataka mimi niache maisha yangu nikufuate wewe? Nikianguka hapo kiuchumi utanisaidia nini kutengamaa,kwamba utakuwa tunafanya mapenzi kila siku ili niinuke kiuchumi?

Mwanaume akiwa na mwanamke wa fikra kama zako utakachompa ni watoto na umasikini tu hakuna la ziada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…