Huyu ni mchezaji wa kiwango cha kawaida sana.
Haijalishi anaongoza kwa kufunga magoli, ila attitude yake ni changamoto.
Nakumbuka siku moja kuna mchezaji wa Simba kama vile Kanoute alifanya faulo,jinsi Mpole alivyomfuata kumsukuma alifanya kwa hasira kama mtu aliyekuwa amempania siku nyingi.
Pia ilikuwa ni kwa hisia kali kama vile kuna chuki baina yao.
Mimi nilijiuliza swali shida ni nini!? Mbona mtu kama Mayele ni amani sana.
Huyo George Mpole sio size ya Simba labda kama mnamipango ya kushindana na Azam FC
Haijalishi anaongoza kwa kufunga magoli, ila attitude yake ni changamoto.
Nakumbuka siku moja kuna mchezaji wa Simba kama vile Kanoute alifanya faulo,jinsi Mpole alivyomfuata kumsukuma alifanya kwa hasira kama mtu aliyekuwa amempania siku nyingi.
Pia ilikuwa ni kwa hisia kali kama vile kuna chuki baina yao.
Mimi nilijiuliza swali shida ni nini!? Mbona mtu kama Mayele ni amani sana.
Huyo George Mpole sio size ya Simba labda kama mnamipango ya kushindana na Azam FC