Kama Simba SC iliyocheza juzi na Kagera Sugar FC ndiyo itakayocheza hatua ya makundi CAFCL tunaenda kuiaibisha nchi

Kama Simba SC iliyocheza juzi na Kagera Sugar FC ndiyo itakayocheza hatua ya makundi CAFCL tunaenda kuiaibisha nchi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Sitaki kuiamini sababu kuwa Kusafiri kwa Basi kwenda Kagera ndiyo kumesababisha Uchovu ule Uliioonekana kwa Wachezaji walipocheza na Kagera Sugar FC.

Ila nikiambiwa moja wapo ya Sababu hizi za Kiuchunguzi nilizozifanyia Kazi nitaaziamini tena kwa 100%.

1. Posho za Wachezaji Kulimbikizwa huku Wengine wakinungunika kwa Wageni Kuthaminiwa na Wazawa Kupuuzwa na kuwachukulia Poa.

2. Wachezaji Waandamizi Kuihujumu Timu (Klabu) kwa Kutumika na Maadui.

3. Kauli ya CEO Barbara Gonzalez kuwa kuna Panga Kubwa katika Dirisha hili Dogo la Usajili imeharibu Saikolojia za Wachezaji wengi kwakuwa wengi hawana uhakika wa hatma yao ndani ya Simba SC.

4. Wawania Uongozi katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC kwa Makusudi kuanza Kusalitiana ili Kundi Moja liamimike na Wanachama ambako Kunaigharimu Klabu/Timu.

5. Kuendelea kuwepo kwa Wasaliti Wakuu Watatu ambao wenye PhD na Soka la Tanzania (Bongo) tunawajua kuwa ni wa upande wa Pili ila nilishangaa kuona Wanachama wa Simba SC wakiwapa Kura za Ndiyo katika Uchaguzi Mkuu huku Wengine bila kujua Mwekezaji Mohammed Dewji akawaamini na Kuwajumuisha katika Bodi ya Simba SC.

6. Timu kuwa na Ukata mkubwa wa Kifedha huku Hela za Mwekezaji Bilioni 20 na zile za Wadhamini Wabetishaji Milioni 26 zikiwa si tu hazionekani bali hazijulikani zimesaidia nini.

7. Maagizo muhimu ya Wataalam wetu (African Culture) Kutozingatiwa huku Wengine wakidhulumiwa Pesa zao kwa Kazi Ngumu ya Kiutamaduni wanayoifanyia Simba SC

Huu ni mtazamo.wangu tu GENTAMYCINE na simlazimishi Mtu auamini bali napenda Uheshimiwe kama ambavyo nami pia naiheshimu yenu.
 
7. Maagizo muhimu ya Wataalam wetu ( African Culture ) Kutozingatiwa huku Wengine wakidhulumiwa Pesa zao kwa Kazi Ngumu ya Kiutamaduni wanayoifanyia Simba SC
Tukubaliane tu kwamba elimu tunayopewa darasani haina msaada wowote ndio maana wasomi ndio wateja wakuu wa waganga ambao wengi wa waganga hao ni darasa la pili B.
 
Sitaki kuiamini sababu kuwa Kusafiri kwa Basi kwenda Kagera ndiyo kumesababisha Uchovu ule Uliioonekana kwa Wachezaji walipocheza na Kagera Sugar FC.

Ila nikiambiwa moja wapo ya Sababu hizi za Kiuchunguzi nilizozifanyia Kazi nitaaziamini tena kwa 100%......

1. Posho za Wachezaji Kulimbikizwa huku Wengine wakinungunika kwa Wageni Kuthaminiwa na Wazawa Kupuuzwa na kuwachukulia Poa.

2. Wachezaji Waandamizi Kuihujumu Timu ( Klabu ) kwa Kutumika na Maadui.

3. Kauli ya CEO Barbara Gonzalez kuwa kuna Panga Kubwa katika Dirisha hili Dogo la Usajili imeharibu Saikolojia za Wachezaji wengi kwakuwa wengi hawana uhakika wa hatma yao ndani ya Simba SC.

4. Wawania Uongozi katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC kwa Makusudi kuanza Kusalitiana ili Kundi Moja liamimike na Wanachama ambako Kunaigharimu Klabu / Timu.

5. Kuendelea kuwepo kwa Wasaliti Wakuu Watatu ambao wenye PhD na Soka la Tanzania ( Bongo ) tunawajua kuwa ni wa upande wa Pili ila nilishangaa kuona Wanachama wa Simba SC wakiwapa Kura za Ndiyo katika Uchaguzi Mkuu huku Wengine bila kujua Mwekezaji Mohammed Dewji akawaamini na Kuwajumuisha katika Bodi ya Simba SC.

6. Timu kuwa na Ukata mkubwa wa Kifedha huku Hela za Mwekezaji Bilioni 20 na zile za Wadhamini Wabetishaji Milioni 26 zikiwa si tu hazionekani bali hazijulikani zimesaidia nini.

7. Maagizo muhimu ya Wataalam wetu ( African Culture ) Kutozingatiwa huku Wengine wakidhulumiwa Pesa zao kwa Kazi Ngumu ya Kiutamaduni wanayoifanyia Simba SC

Huu ni mtazamo.wangu tu GENTAMYCINE na simlazimishi Mtu auamini bali napenda Uheshimiwe kama ambavyo nami pia naiheshimu yenu.
Fake
 
Cha ajabu maneno mengi negative yanakuja kila Simba ikifanya vibaya , JF imekuwa kijiwe cha hovyo kama fb kwa sasa
 
Cha ajabu maneno mengi negative yanakuja kila Simba ikifanya vibaya , JF imekuwa kijiwe cha hovyo kama fb kwa sasa
Na bahati mbaya zaidi pamoja na huko kujua Kote kama JamiiForums ni Kijiwe cha hovyo ila bado umeendelea Kuwepo hapa 24/7 na hata Kusoma Mada na Posts zetu zote tena mwanzo hadi mwisho.
 
Sitaki kuiamini sababu kuwa Kusafiri kwa Basi kwenda Kagera ndiyo kumesababisha Uchovu ule Uliioonekana kwa Wachezaji walipocheza na Kagera Sugar FC.

Ila nikiambiwa moja wapo ya Sababu hizi za Kiuchunguzi nilizozifanyia Kazi nitaaziamini tena kwa 100%......


6. Timu kuwa na Ukata mkubwa wa Kifedha huku Hela za Mwekezaji Bilioni 20 na zile za Wadhamini Wabetishaji Milioni 26 zikiwa si tu hazionekani bali hazijulikani zimesaidia nini.

.
Pamoja na zile za kuchukua kombe la ROBO FAINALI.
 
Na bahati mbaya zaidi pamoja na huko kujua Kote kama JamiiForums ni Kijiwe cha hovyo ila bado umeendelea Kuwepo hapa 24/7 na hata Kusoma Mada na Posts zetu zote tena mwanzo hadi mwisho.
Wapumbavu tunaishi nao mtaani,tunakula nao na kufanya nao kazi hatuwezi kuhama dunia ili tusiingiliane nao seuze kwenye mitandao tunapokutana na watu wanaokosoa vitu while hata uhalisia wa mambo unapingana nao?
Timu ikifungwa ohhh! Kwa Simba hii hakuna lolote ,timu inakwenda hadi quarterfinals mashindano ya CAF na wachezaji hawahawa.Siwezi kuibeza timu hii wakati kuna majirani kufika makundi walifanya sherehe na hao ndo unadai wana timu nzuri kuliko hii ya Simba.

Sema timu iko vizuri yanayobaki ni matokeo ya kawaida tu kwenye soka.
 
Tukubaliane tu kwamba elimu tunayopewa darasani haina msaada wowote ndio maana wasomi ndio wateja wakuu wa waganga ambao wengi wa waganga hao ni darasa la pili B.
Elimu ya darasani ya kutafuta x wakati unaiona na kufundishwa mengi ambayo hutotumia maisha I,Haina maana Sana zaidi ya kutafutia mshahara tu
 
Back
Top Bottom