Kama Singida Black Stars wameamua kuipeleka Yanga Zanzibar basi wapeni kombe lao tena Yanga, kinachoendelea sasa hivi ni kiinimacho

Kama Singida Black Stars wameamua kuipeleka Yanga Zanzibar basi wapeni kombe lao tena Yanga, kinachoendelea sasa hivi ni kiinimacho

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Uwanja wa Liti ni mgumu sana na kwa aina ya wachezaji wa Singida, Yanga hakuwa na uhakika wa kutoboa mechi hiyo, Singida wametoa sare moja t na JKT na wote aliokutana nao amewaua, wana wachezaji wenye uwezo wa kupambana na klabu yoyote ile nchini, hivyo gemu ingechezwa Liti kule kwao mkubwa angedhalilika, uzuri wenyewe mwenye Singida ndio huyo huyo mjumbe wa baraza la wadhamini Yanga, haya mambo kwa watu wenye weledi mdogo kama Kasongo hawawezi kuelewa, wao wamebaki kuwa walevi tu sasa hivi, wanaendeshwa na GMS basi.

Kwa tunaoelewa kwa mara ya kwanza Singida anaenda kujiangusha zenji ili mkubwa azidi kusonga mbele, mkubwa amemuahidi Singida atamsaidia kwa hali na mali ashike nafasi ya pili kwa sababu mipango yote anaijua, sharti akubali gemu ichezwe zenji afe halafu wao watawasaidia watakapokutana na mnyama, aibu sana hii.

Anyway wapeni tena ubingwa hamna shida
 
Uwanja wa Liwiti ni mgumu sana na kwa aina ya wachezaji wa Singida, Yanga hakuwa na uhakika wa kutoboa mechi hiyo, Singida wametoa sare moja t na JKT na wote aliokutana nao amewaua, wana wachezaji wenye uwezo wa kupambana na klabu yoyote ile nchini, hivyo gemu ingechezwa Liwiti kule kwao mkubwa angedhalilika, uzuri wenyewe mwenye Singida ndio huyo huyo mjumbe wa baraza la wadhamini Yanga, haya mambo kwa watu wenye weledi mdogo kama Kasongo hawawezi kuelewa, wao wamebaki kuwa walevi tu ss hv, wanaendeshwa na GMS basi.

Kwa tunaoelewa kwa mara ya kwanza Singida anaenda kujiangusha zenji ili mkubwa azidi kusonga mbele, mkubwa amemuahidi Singida atamsaidia kwa hali na mali ashike nafasi ya pili kwa sababu mipango yote anaijua, sharti akubali gemu ichezwe zenji afe halafu wao watawasaidia watakapokutana na mnyama, aibu sana hii.

Anyway wapeni tena ubingwa hamna shida
Mkuu unakipaji cha pekee, umewezaje kulia kwa njia ya maandishi?
 
Uwanja wa Liwiti ni mgumu sana na kwa aina ya wachezaji wa Singida, Yanga hakuwa na uhakika wa kutoboa mechi hiyo, Singida wametoa sare moja t na JKT na wote aliokutana nao amewaua, wana wachezaji wenye uwezo wa kupambana na klabu yoyote ile nchini, hivyo gemu ingechezwa Liwiti kule kwao mkubwa angedhalilika, uzuri wenyewe mwenye Singida ndio huyo huyo mjumbe wa baraza la wadhamini Yanga, haya mambo kwa watu wenye weledi mdogo kama Kasongo hawawezi kuelewa, wao wamebaki kuwa walevi tu ss hv, wanaendeshwa na GMS basi.

Kwa tunaoelewa kwa mara ya kwanza Singida anaenda kujiangusha zenji ili mkubwa azidi kusonga mbele, mkubwa amemuahidi Singida atamsaidia kwa hali na mali ashike nafasi ya pili kwa sababu mipango yote anaijua, sharti akubali gemu ichezwe zenji afe halafu wao watawasaidia watakapokutana na mnyama, aibu sana hii.

Anyway wapeni tena ubingwa hamna shida
Waambie Viongozi wa Simba, Mechi ya Marudio wayapeleke Singida...

Mbona unateseka Bure.
 
Mlivyokaa na wazee wenu kuwasema mawaziri, marefa na mke wa kiongozi wa TFF mlitegemea nini? Bro tulieni sasa hao mawaziri wafanye kweli ili uje na press nyingine
 
Uwanja wa Liwiti ni mgumu sana na kwa aina ya wachezaji wa Singida, Yanga hakuwa na uhakika wa kutoboa mechi hiyo, Singida wametoa sare moja t na JKT na wote aliokutana nao amewaua, wana wachezaji wenye uwezo wa kupambana na klabu yoyote ile nchini, hivyo gemu ingechezwa Liwiti kule kwao mkubwa angedhalilika, uzuri wenyewe mwenye Singida ndio huyo huyo mjumbe wa baraza la wadhamini Yanga, haya mambo kwa watu wenye weledi mdogo kama Kasongo hawawezi kuelewa, wao wamebaki kuwa walevi tu ss hv, wanaendeshwa na GMS basi.

Kwa tunaoelewa kwa mara ya kwanza Singida anaenda kujiangusha zenji ili mkubwa azidi kusonga mbele, mkubwa amemuahidi Singida atamsaidia kwa hali na mali ashike nafasi ya pili kwa sababu mipango yote anaijua, sharti akubali gemu ichezwe zenji afe halafu wao watawasaidia watakapokutana na mnyama, aibu sana hii.

Anyway wapeni tena ubingwa hamna shida
Peleka wewe hiyo mechi huko kwenu Nyarugusu Stadium.
Yanga Bingwa.
 
Uwanja wa Liwiti ni mgumu sana na kwa aina ya wachezaji wa Singida, Yanga hakuwa na uhakika wa kutoboa mechi hiyo, Singida wametoa sare moja t na JKT na wote aliokutana nao amewaua, wana wachezaji wenye uwezo wa kupambana na klabu yoyote ile nchini, hivyo gemu ingechezwa Liwiti kule kwao mkubwa angedhalilika, uzuri wenyewe mwenye Singida ndio huyo huyo mjumbe wa baraza la wadhamini Yanga, haya mambo kwa watu wenye weledi mdogo kama Kasongo hawawezi kuelewa, wao wamebaki kuwa walevi tu ss hv, wanaendeshwa na GMS basi.

Kwa tunaoelewa kwa mara ya kwanza Singida anaenda kujiangusha zenji ili mkubwa azidi kusonga mbele, mkubwa amemuahidi Singida atamsaidia kwa hali na mali ashike nafasi ya pili kwa sababu mipango yote anaijua, sharti akubali gemu ichezwe zenji afe halafu wao watawasaidia watakapokutana na mnyama, aibu sana hii.

Anyway wapeni tena ubingwa hamna shida
Mmeshikwa pabaya, sio kwa milio hii ya Kila aina mnayoitoa, kama uwanja wa liti ni mgumu kushinda pelekeni timu yenu dhidi ya yanga ili mshinde basi, mmeanza kuwapangia watu cha kufanya ebho!!!
 
Mmeshikwa pabaya, sio kwa milio hii ya Kila aina mnayoitoa, kama uwanja wa liti ni mgumu kushinda pelekeni timu yenu dhidi ya yanga ili mshinde basi, mmeanza kuwapangia watu cha kufanya ebho!!!
Baelezeage hao watapigwa kama ngoma.
 
Na vipi mechi yao nyingine dhidi ya timu yako ya simba wakiamua kwenda kuchezea huko Zanzibar, utakuja na porojo gani?

Halafu si kanuni zinawaruhusu kufanya hivyo! Sasa inakuwaje unaingiwa na maumivu ya kipuuzi mwilini!!! Popoma unazingua sana.
 
Uwanja wa Liwiti ni mgumu sana na kwa aina ya wachezaji wa Singida, Yanga hakuwa na uhakika wa kutoboa mechi hiyo, Singida wametoa sare moja t na JKT na wote aliokutana nao amewaua, wana wachezaji wenye uwezo wa kupambana na klabu yoyote ile nchini, hivyo gemu ingechezwa Liwiti kule kwao mkubwa angedhalilika, uzuri wenyewe mwenye Singida ndio huyo huyo mjumbe wa baraza la wadhamini Yanga, haya mambo kwa watu wenye weledi mdogo kama Kasongo hawawezi kuelewa, wao wamebaki kuwa walevi tu ss hv, wanaendeshwa na GMS basi.

Kwa tunaoelewa kwa mara ya kwanza Singida anaenda kujiangusha zenji ili mkubwa azidi kusonga mbele, mkubwa amemuahidi Singida atamsaidia kwa hali na mali ashike nafasi ya pili kwa sababu mipango yote anaijua, sharti akubali gemu ichezwe zenji afe halafu wao watawasaidia watakapokutana na mnyama, aibu sana hii.

Anyway wapeni tena ubingwa hamna shida
Umevaa pampsi ngapi maana harufu ya uvundo imefika huku
 
Uwanja wa Liwiti ni mgumu sana na kwa aina ya wachezaji wa Singida, Yanga hakuwa na uhakika wa kutoboa mechi hiyo, Singida wametoa sare moja t na JKT na wote aliokutana nao amewaua, wana wachezaji wenye uwezo wa kupambana na klabu yoyote ile nchini, hivyo gemu ingechezwa Liwiti kule kwao mkubwa angedhalilika, uzuri wenyewe mwenye Singida ndio huyo huyo mjumbe wa baraza la wadhamini Yanga, haya mambo kwa watu wenye weledi mdogo kama Kasongo hawawezi kuelewa, wao wamebaki kuwa walevi tu ss hv, wanaendeshwa na GMS basi.

Kwa tunaoelewa kwa mara ya kwanza Singida anaenda kujiangusha zenji ili mkubwa azidi kusonga mbele, mkubwa amemuahidi Singida atamsaidia kwa hali na mali ashike nafasi ya pili kwa sababu mipango yote anaijua, sharti akubali gemu ichezwe zenji afe halafu wao watawasaidia watakapokutana na mnyama, aibu sana hii.

Anyway wapeni tena ubingwa hamna shida
Mpka mseme tu
 
Back
Top Bottom