Kama sisi ndiyo tuliletwa kutawala dunia kwanini tunaviogopa baadhi ya viumbe?

Kama sisi ndiyo tuliletwa kutawala dunia kwanini tunaviogopa baadhi ya viumbe?

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Aisee kama mwanadamu ndiye ameletwa kuja kutawala dunia kwanini tunaviogopa baadhi ya viumbe kama nyoka,simba,chuo,tempo na baadhi ya viumbe? Na kwanini? Napatwa na hasira nyingi kujiuliza kwanini tunavihofia viumbe vingine? Mamba hana akili lakini kwanini tumuogope kiumbe asiye na akili? ?????
 
Aisee kama mwanadamu ndiye ameletwa kuja kutawala dunia kwanini tunaviogopa baadhi ya viumbe kama nyoka,simba,chuo,tempo na baadhi ya viumbe? Na kwanini? Napatwa na hasira nyingi kujiuliza kwanini tunavihofia viumbe vingine? Mamba hana akili lakini kwanini tumuogope kiumbe asiye na akili? ?????
NGOJA NAMIMI NIJISOMEE BIBLIA YAMKINI TUTAPATA JAWABU TUKIACHANA NA SABABU ZA ASILI NA TABIA ZA WANYAMA NA VIUMBE, UTASHI NA AKILI.
  1. Mwanzo 3:17-19 "Lakini kwa sababu ulisikia sauti ya mke wako, ukakula kutoka kwenye mti ambao niliamuru usile, laaniwa iwe ardhi kwa ajili yako; kwa uchungu utaula chakula chako siku zote za maisha yako. Nayo miiba na magugu itakua, nawe utakula majani ya shambani."
  2. Amosi 9:3 "Ikiwa wanajificha juu ya kilele cha Karmeli, nitawashusha kutoka huko; na kama wanajificha katika kificho cha baharini, nitatuma nyoka kuwasotolea."
  3. Warumi 8:20-22 "Kwa maana viumbe vyote vilitiwa katika ufisadi, si kwa mapenzi yao, bali kwa sababu ya yeye aliyaviweka chini ya ufisadi, kwa tumaini kwamba viumbe vyote vitakombolewa kutoka katika utumwa wa ufisadi na kuja katika uhuru wa utukufu wa watoto wa Mungu."
  4. Ufunuo 6:8 "Nikatazama, na tazama farasi mweusi, na aliyekalia juu yake alikuwa na mizani mkononi mwake.
  5. Mathayo 6:26 "Tazama, mkono wa Bwana utakuja juu ya mifugo yako, juu ya farasi, juu ya punda, juu ya ngamia, juu ya kondoo na juu ya ng'ombe, kwa habari ya maafa makubwa."
 
Mamba hana akili lakini kwanini tumuogope kiumbe asiye na akili? ?????
Ushasema hana akili ila itategemea hizo akili hana akiwa wapi maana kuna maeneo yake ukimkuta ndio utamjua ana akili au hana akili, hata wewe kuna eneo ukiwekwa waliokuzunguka watakuona huna akili ila kuna angles zako ukiwekwa kila kiumbe kitakuheshimu na kusema jamaa ana akili balaa
 
Simba mwenyewe anamuogopa siafu, binadamu ni mnyama kama wanyama wengine naye pia ana defensive mechanism yake!
Kumtawala simba au mamba binadamu lazima atumie ubongo wake kama silaha yake
Itoshe kusema kwamba hakuna kiumbe dhaifu kama binadamu kuanzia stamina,speed, strength ila silaha binadamu aliyonayo ni ubongo
 
Aisee kama mwanadamu ndiye ameletwa kuja kutawala dunia kwanini tunaviogopa baadhi ya viumbe kama nyoka,simba,chuo,tempo na baadhi ya viumbe? Na kwanini? Napatwa na hasira nyingi kujiuliza kwanini tunavihofia viumbe vingine? Mamba hana akili lakini kwanini tumuogope kiumbe asiye na akili? ?????
Rudia tena mamba hana nini?
 
Nilipiga nae story nikiwa mto rufiji
Mamba mtu au mamba yule kwenye mto pale palipochukua watu wengi mtoni kwa kuliwa na mamba mto Rufiji kabla Mkapa hajaamua kuwajengea daraja ndugu zake wa Kusini ili wasiliwe na Mamba kwenye Mitumbwi kuvuka mto pale Nangulukuru?
 
Utisho na mamlaka ya kutawala kila kitu aliokuwa nao binadamu uliondoka baada ya binadamu kutenda dhambi,alicho achiwa ni akili ambayo inamuwezesha kugundua silaha mbalimbali ili aweze kuzitumia kutawala kwa mabavu.
 
Back
Top Bottom