Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 949
- 2,038
Wakuu habari zenu?
Wakuu nimekaa nimetafakari kuhusu hili jambo linalo itwa "UCHAWA" linavyo shika Kasi ndani ya nchi hii, naliona linaenda kuangamiza Taifa , hasa kwa vizazi vijavyo.
Kwa muda mrefu, mwelekeo wa elimu, malezi, na uongozi umeonyesha mabadiliko makubwa.
Badala ya kujenga kizazi chenye fikra huru, maadili imara, na uwezo wa kushirikiana kujenga taifa, ajabu zaidi kuna ongezeko la vijana wanaotanguliza maslahi binafsi na kuwa tayari kufanya chochote kwa lengo la kufanikisha ajenda zao binafsi.
Jambo ambalo ni hatari kwa Taifa hili hasa kwa vizazi Vyetu.
Wakuu nimekaa nimetafakari kuhusu hili jambo linalo itwa "UCHAWA" linavyo shika Kasi ndani ya nchi hii, naliona linaenda kuangamiza Taifa , hasa kwa vizazi vijavyo.
Kwa muda mrefu, mwelekeo wa elimu, malezi, na uongozi umeonyesha mabadiliko makubwa.
Badala ya kujenga kizazi chenye fikra huru, maadili imara, na uwezo wa kushirikiana kujenga taifa, ajabu zaidi kuna ongezeko la vijana wanaotanguliza maslahi binafsi na kuwa tayari kufanya chochote kwa lengo la kufanikisha ajenda zao binafsi.
Jambo ambalo ni hatari kwa Taifa hili hasa kwa vizazi Vyetu.
Attachments
-
Screenshot_20250127-162353.jpg367.5 KB · Views: 1 -
20250128_165731.jpg310.7 KB · Views: 3 -
Screenshot_20250127-162809.jpg380.7 KB · Views: 3 -
Screenshot_20250127-162604.jpg244.4 KB · Views: 1 -
Screenshot_20250127-162106.jpg433 KB · Views: 1 -
Screenshot_20250127-161900.jpg523.1 KB · Views: 3 -
Screenshot_20250127-161807.jpg315.2 KB · Views: 1