Pre GE2025 Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea

Pre GE2025 Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Record yake katikati kuchochea maendeleo endelevu kwenye maisha ya waTanzania, iko wazi na bayana sana, mathalani kwenye huduma ya maji ya uhakika, umeme wa uhakika, huduma bora za afya mijini na vijijini, huduma bora za usafirishaji wa relini, majini, ardhini na angani, huduma bora katika elimu ya msingi, sekondari na elimu na juu pia, mageuzi katika katika kilimo cha kisasa mathalani upatikanaji rahisi wa mbolea, mbegu bora, umwagiliaji na upatikanaji kirahisi pembejeo nyingine muhimu za kilimo, lakini pia mabadiliko na mageuzi katika ufugaji, uvuvi, biashara na masoko, ni record nzuri sana na inayohitaji kupongezwa na kila mTanzania..

Dhamira na nia yake thabiti na ya dhati ya kuliunganisha Taifa na kuifungua nchi duniani. bila shaka matunda yake yanaonekana bayana. uadilifu, uwazi, uhuru, haki, usawa, uwajibikaji na bidii kwa watumishi wa umma, ni mambo muhimu sana yaliyopamba serikali hii sikivu ya ccm awamu ya 6 chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote.

Demokrasia ya vyama vingi inafanyika vizuri sana nchini tena katika mazingira sawa, huru na ya haki kwa vyama vyote vya kisiasa kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi. mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa, makongamano ya vyama vya siasa, warsha na maandamano kwa vyama vya siasa ni rukhsa kwa mujibu wa sheria..nano kama mama....

Tanzania hivi sasa inaaminika, inaheshimika, inasifika na kukubalika duniani kote, pengine kuliko kipindi kingine chochote katika historia ya Tanzania, chini ya mama huyu Rais na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan..

Umoja ,amani, utulivu na utangamano miongoni mwa waTanzania umeifanya serikali sikivu ya CCM chini ya Dr Samia Suluhu Hassan kuboresha mazingira mazuri zaidi ya biashara na masoko, uwekezaji na utalii, na kuifanya Tanzania kuwa kitovu na kivutio muhimu sana kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, lakini pia kivutio kwa wafanyibiashara wa ndani na nje ya nchi kufanya biashara Tanzani.
Lipo pia ongezeko kubwa sana la watalii wa ndani na nje ya nchi kwenye maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii nchini..

Na kwenye eneo hili Tanzania imeongeza kipato kikubwa mno pamoja na pesa za kigeni za kutosha.

Hayo ni mafanikio makubwa machache tu kati ya mengi sana ambayo mama huyu amayachochea, na sasa yanaonekana kwenye maisha ya kila mTanzania.

Kama wazalendo wa Taifa hili Tanzania, tunayo kila sababu, kwa Neema na Baraka za Mungu tukijaaliwa uhai, kwenye Uchaguzi mkuu, kumpatia mama huyu Dr. Samia Suluhu Hassan ushindi wa kishindo, endapo ataridhia ombi la waTanzania wote nchini kwamba agombee urais kwa ungwe nyingine ya pili.

Asanti sana kwa maoni yako na kuunga mkono hoja hii...🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Hategemei kura, bali wizi wa kura kwa mbeleko ya vyombo vya dola na tume isiyo huru ya uchaguzi.
Dr Samia Suluhu Hassan anategemea Neema na Baraka za Mungu kupitia sauti za wananchi na si vinginevyo gentleman 🐒
 
Record yake katikati kuchochea maendeleo endelevu kwenye maisha ya waTanzania, iko wazi na bayana sana, mathalani kwenye huduma ya maji ya uhakika, umeme wa uhakika, huduma bora za afya mijini na vijijini, huduma bora za usafirishaji wa relini, majini, ardhini na angani, huduma bora katika elimu ya msingi, sekondari na elimu na juu pia, mageuzi katika katika kilimo cha kisasa mathalani upatikanaji rahisi wa mbolea, mbegu bora, umwagiliaji na upatikanaji kirahisi pembejeo nyingine muhimu za kilimo, lakini pia mabadiliko na mageuzi katika ufugaji, uvuvi, biashara na masoko, ni record nzuri sana na inayohitaji kupongezwa na kila mTanzania..

Dhamira na nia yake thabiti na ya dhati ya kuliunganisha Taifa na kuifungua nchi duniani. bila shaka matunda yake yanaonekana bayana. uadilifu, uwazi, uhuru, haki, usawa, uwajibikaji na bidii kwa watumishi wa umma, ni mambo muhimu sana yaliyopamba serikali hii sikivu ya ccm awamu ya 6 chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote.

Demokrasia ya vyama vingi inafanyika vizuri sana nchini tena katika mazingira sawa, huru na ya haki kwa vyama vyote vya kisiasa kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi. mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa, makongamano ya vyama vya siasa, warsha na maandamano kwa vyama vya siasa ni rukhsa kwa mujibu wa sheria..nano kama mama....

Tanzania hivi sasa inaaminika, inaheshimika, inasifika na kukubalika duniani kote, pengine kuliko kipindi kingine chochote katika historia ya Tanzania, chini ya mama huyu Rais na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan..

Umoja ,amani, utulivu na utangamano miongoni mwa waTanzania umeifanya serikali sikivu ya CCM chini ya Dr Samia Suluhu Hassan kuboresha mazingira mazuri zaidi ya biashara na masoko, uwekezaji na utalii, na kuifanya Tanzania kuwa kitovu na kivutio muhimu sana kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, lakini pia kivutio kwa wafanyibiashara wa ndani na nje ya nchi kufanya biashara Tanzani.
Lipo pia ongezeko kubwa sana la watalii wa ndani na nje ya nchi kwenye maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii nchini..

Na kwenye eneo hili Tanzania imeongeza kipato kikubwa mno pamoja na pesa za kigeni za kutosha.

Hayo ni mafanikio makubwa machache tu kati ya mengi sana ambayo mama huyu amayachochea, na sasa yanaonekana kwenye maisha ya kila mTanzania.

Kama wazalendo wa Taifa hili Tanzania, tunayo kila sababu, kwa Neema na Baraka za Mungu tukijaaliwa uhai, kwenye Uchaguzi mkuu, kumpatia mama huyu Dr. Samia Suluhu Hassan ushindi wa kishindo, endapo ataridhia ombi la waTanzania wote nchini kwamba agombee urais kwa ungwe nyingine ya pili.

Asanti sana kwa maoni yako na kuunga mkono hoja hii...🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe ni jinga . Jinga huchagua hata matapeli na mafisadi. Mungu akuue haraka Sana ili nchi ipunguze majinga kama wewe
 
Record yake katikati kuchochea maendeleo endelevu kwenye maisha ya waTanzania, iko wazi na bayana sana, mathalani kwenye huduma ya maji ya uhakika, umeme wa uhakika, huduma bora za afya mijini na vijijini, huduma bora za usafirishaji wa relini, majini, ardhini na angani, huduma bora katika elimu ya msingi, sekondari na elimu na juu pia, mageuzi katika katika kilimo cha kisasa mathalani upatikanaji rahisi wa mbolea, mbegu bora, umwagiliaji na upatikanaji kirahisi pembejeo nyingine muhimu za kilimo, lakini pia mabadiliko na mageuzi katika ufugaji, uvuvi, biashara na masoko, ni record nzuri sana na inayohitaji kupongezwa na kila mTanzania..

Dhamira na nia yake thabiti na ya dhati ya kuliunganisha Taifa na kuifungua nchi duniani. bila shaka matunda yake yanaonekana bayana. uadilifu, uwazi, uhuru, haki, usawa, uwajibikaji na bidii kwa watumishi wa umma, ni mambo muhimu sana yaliyopamba serikali hii sikivu ya ccm awamu ya 6 chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote.

Demokrasia ya vyama vingi inafanyika vizuri sana nchini tena katika mazingira sawa, huru na ya haki kwa vyama vyote vya kisiasa kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi. mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa, makongamano ya vyama vya siasa, warsha na maandamano kwa vyama vya siasa ni rukhsa kwa mujibu wa sheria..nano kama mama....

Tanzania hivi sasa inaaminika, inaheshimika, inasifika na kukubalika duniani kote, pengine kuliko kipindi kingine chochote katika historia ya Tanzania, chini ya mama huyu Rais na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan..

Umoja ,amani, utulivu na utangamano miongoni mwa waTanzania umeifanya serikali sikivu ya CCM chini ya Dr Samia Suluhu Hassan kuboresha mazingira mazuri zaidi ya biashara na masoko, uwekezaji na utalii, na kuifanya Tanzania kuwa kitovu na kivutio muhimu sana kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, lakini pia kivutio kwa wafanyibiashara wa ndani na nje ya nchi kufanya biashara Tanzani.
Lipo pia ongezeko kubwa sana la watalii wa ndani na nje ya nchi kwenye maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii nchini..

Na kwenye eneo hili Tanzania imeongeza kipato kikubwa mno pamoja na pesa za kigeni za kutosha.

Hayo ni mafanikio makubwa machache tu kati ya mengi sana ambayo mama huyu amayachochea, na sasa yanaonekana kwenye maisha ya kila mTanzania.

Kama wazalendo wa Taifa hili Tanzania, tunayo kila sababu, kwa Neema na Baraka za Mungu tukijaaliwa uhai, kwenye Uchaguzi mkuu, kumpatia mama huyu Dr. Samia Suluhu Hassan ushindi wa kishindo, endapo ataridhia ombi la waTanzania wote nchini kwamba agombee urais kwa ungwe nyingine ya pili.

Asanti sana kwa maoni yako na kuunga mkono hoja hii...🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Zawadi ya pekee ni kumuacha Mama apumzike kwani umri umeenda sana, ataenziwa kwa kuachia nafasi kwa damu changa. Nchi kwa sasa inahitaji Rais mwenye nguvu ya kutosha hasa miaka 50 kushuka chini. Tuwaache wenye miaka 60 na kuendelea wawe washauri tu. Mtu anapozeeka na kuendelea na madaraka yatampata yale ya Mgabe wa Zimbabwe ya watu wengine kuendesha Nchi kwa mgongo wake. Naamini Mama Samia analijua hili na muda ukifika atafanya kweli na kuenziwa daima kwa uungwana huo.
 
Record yake katikati kuchochea maendeleo endelevu kwenye maisha ya waTanzania, iko wazi na bayana sana, mathalani kwenye huduma ya maji ya uhakika, umeme wa uhakika, huduma bora za afya mijini na vijijini, huduma bora za usafirishaji wa relini, majini, ardhini na angani, huduma bora katika elimu ya msingi, sekondari na elimu na juu pia, mageuzi katika katika kilimo cha kisasa mathalani upatikanaji rahisi wa mbolea, mbegu bora, umwagiliaji na upatikanaji kirahisi pembejeo nyingine muhimu za kilimo, lakini pia mabadiliko na mageuzi katika ufugaji, uvuvi, biashara na masoko, ni record nzuri sana na inayohitaji kupongezwa na kila mTanzania..

Dhamira na nia yake thabiti na ya dhati ya kuliunganisha Taifa na kuifungua nchi duniani. bila shaka matunda yake yanaonekana bayana. uadilifu, uwazi, uhuru, haki, usawa, uwajibikaji na bidii kwa watumishi wa umma, ni mambo muhimu sana yaliyopamba serikali hii sikivu ya ccm awamu ya 6 chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote.

Demokrasia ya vyama vingi inafanyika vizuri sana nchini tena katika mazingira sawa, huru na ya haki kwa vyama vyote vya kisiasa kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi. mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa, makongamano ya vyama vya siasa, warsha na maandamano kwa vyama vya siasa ni rukhsa kwa mujibu wa sheria..nano kama mama....

Tanzania hivi sasa inaaminika, inaheshimika, inasifika na kukubalika duniani kote, pengine kuliko kipindi kingine chochote katika historia ya Tanzania, chini ya mama huyu Rais na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan..

Umoja ,amani, utulivu na utangamano miongoni mwa waTanzania umeifanya serikali sikivu ya CCM chini ya Dr Samia Suluhu Hassan kuboresha mazingira mazuri zaidi ya biashara na masoko, uwekezaji na utalii, na kuifanya Tanzania kuwa kitovu na kivutio muhimu sana kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, lakini pia kivutio kwa wafanyibiashara wa ndani na nje ya nchi kufanya biashara Tanzani.
Lipo pia ongezeko kubwa sana la watalii wa ndani na nje ya nchi kwenye maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii nchini..

Na kwenye eneo hili Tanzania imeongeza kipato kikubwa mno pamoja na pesa za kigeni za kutosha.

Hayo ni mafanikio makubwa machache tu kati ya mengi sana ambayo mama huyu amayachochea, na sasa yanaonekana kwenye maisha ya kila mTanzania.

Kama wazalendo wa Taifa hili Tanzania, tunayo kila sababu, kwa Neema na Baraka za Mungu tukijaaliwa uhai, kwenye Uchaguzi mkuu, kumpatia mama huyu Dr. Samia Suluhu Hassan ushindi wa kishindo, endapo ataridhia ombi la waTanzania wote nchini kwamba agombee urais kwa ungwe nyingine ya pili.

Asanti sana kwa maoni yako na kuunga mkono hoja hii...🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mtu hapewi tu ushindi hutafutwa kwa njia halali siyo haram
 
Wewe ni jinga . Jinga huchagua hata matapeli na mafisadi. Mungu akuue haraka Sana ili nchi ipunguze majinga kama wewe
acha ushirikina wewe ndio maana umejaa mihemko tu moyoni,

khanyamakhandasi mkubwa wee🐒
 
KAZI gani hiyo ambayo ni nzuri!?
mfano internet yenye kasi zaid unayotumia kureply koment hii ni kati ya mafanikio hayo mengi muhimu sana humu nchini 🐒
 
Mapema tu, saa tatu asubuhi SSH ameshatangazwa mshindi
 
CCM ni nyepesi sana isiposaidiwa na policcm pamoja na tume yao ya uchaguzi.
actually,
huwezi kutenganisha umma wa waTanzania na CCM imara,

hivyo hivyo,
kamwe haiwezekani kuitenganisha CCM na taasisi mbalimbali zisizo za uma na za umma, za kitaifa na kimataifa, kwasabb CCM iko ndani yao na wao wako ndrani ndrani kabisa ya CCM kabisa...

ni ngumu, Lakini ni muhimu ikaeleweka vyema hii gentleman 🐒
 
Record yake katikati kuchochea maendeleo endelevu kwenye maisha ya waTanzania, iko wazi na bayana sana, mathalani kwenye huduma ya maji ya uhakika, umeme wa uhakika, huduma bora za afya mijini na vijijini, huduma bora za usafirishaji wa relini, majini, ardhini na angani, huduma bora katika elimu ya msingi, sekondari na elimu na juu pia, mageuzi katika katika kilimo cha kisasa mathalani upatikanaji rahisi wa mbolea, mbegu bora, umwagiliaji na upatikanaji kirahisi pembejeo nyingine muhimu za kilimo, lakini pia mabadiliko na mageuzi katika ufugaji, uvuvi, biashara na masoko, ni record nzuri sana na inayohitaji kupongezwa na kila mTanzania..

Dhamira na nia yake thabiti na ya dhati ya kuliunganisha Taifa na kuifungua nchi duniani. bila shaka matunda yake yanaonekana bayana. uadilifu, uwazi, uhuru, haki, usawa, uwajibikaji na bidii kwa watumishi wa umma, ni mambo muhimu sana yaliyopamba serikali hii sikivu ya ccm awamu ya 6 chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote.

Demokrasia ya vyama vingi inafanyika vizuri sana nchini tena katika mazingira sawa, huru na ya haki kwa vyama vyote vya kisiasa kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi. mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa, makongamano ya vyama vya siasa, warsha na maandamano kwa vyama vya siasa ni rukhsa kwa mujibu wa sheria..nano kama mama....

Tanzania hivi sasa inaaminika, inaheshimika, inasifika na kukubalika duniani kote, pengine kuliko kipindi kingine chochote katika historia ya Tanzania, chini ya mama huyu Rais na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan..

Umoja ,amani, utulivu na utangamano miongoni mwa waTanzania umeifanya serikali sikivu ya CCM chini ya Dr Samia Suluhu Hassan kuboresha mazingira mazuri zaidi ya biashara na masoko, uwekezaji na utalii, na kuifanya Tanzania kuwa kitovu na kivutio muhimu sana kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, lakini pia kivutio kwa wafanyibiashara wa ndani na nje ya nchi kufanya biashara Tanzani.
Lipo pia ongezeko kubwa sana la watalii wa ndani na nje ya nchi kwenye maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii nchini..

Na kwenye eneo hili Tanzania imeongeza kipato kikubwa mno pamoja na pesa za kigeni za kutosha.

Hayo ni mafanikio makubwa machache tu kati ya mengi sana ambayo mama huyu amayachochea, na sasa yanaonekana kwenye maisha ya kila mTanzania.

Kama wazalendo wa Taifa hili Tanzania, tunayo kila sababu, kwa Neema na Baraka za Mungu tukijaaliwa uhai, kwenye Uchaguzi mkuu, kumpatia mama huyu Dr. Samia Suluhu Hassan ushindi wa kishindo, endapo ataridhia ombi la waTanzania wote nchini kwamba agombee urais kwa ungwe nyingine ya pili.

Asanti sana kwa maoni yako na kuunga mkono hoja hii...🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mama ndio mpango wa Mungu wa 2025 na anapita kwa asilimia 90
 
Haya Majinga kwann Mungu asiyachukue tupunguze wajinga Tz
 
Mtu hapewi tu ushindi hutafutwa kwa njia halali siyo haram
record safi sana ya Maendeleo, uadilifu, uchapakazi hodari, nia na dhamira Njema ndio hasa njia halali na muhimu sana ya kumpatia Dr.Samia Suluhu Hassan ngwe ya pili na ya mwisho katika Uongozi wa juu wa taifa letu,

kwa pamoja inawezekana,
Mungu ibariki Tanzania 🐒
 
Unaweza kushangaa CHADEMA kwa upeo wao wa kutia mashaka wakapinga ukweli huu ,wakati ni Mama huyu mwenye moyo wa upendo , unyenyekevu , Uchapakazi na uzalendo mkubwa ndio aliowapa fursa ya kufanya mikutano ya hadhara na uhuru wa kila aina ,mpaka wanautumia vibaya kwa kuporomosha Mimatusi yao
 
Back
Top Bottom