Pre GE2025 Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mnafanya makosa kutokuandika namba zenu za simu mwishoni mwa uzi....

Weka namba mkuu tukuunge kwenye gurupu la machawa.....au hutaki pesa ya bando
 
Ishindi upi wakati katibu wake mkuu anakimbia midahalo.
kwamba mdahalo uitishwe na mshirikina halafu katibu Mkuu wa CCM ashiriki majadiliano na vijanaa wachawi ambao ni shadow SGs kwenye vyama vyao, kweli?

nadhani ingalikua ni fedheha sana kwa Dr.Emanuel Nchimbi kushiriki mdahalo ule kwasabb haukua wa hadhi yake kitaalamu,

lakini pia ingekua ni uonevu na unyanyasaji wa kisaikolojia kwa wale vijanaa ambao pia ni teketeke, wasio na hadhi kabisa ya kusimama podium moja na Dr wa falsafa Emanuel Nchimbi πŸ’
 
Wenyewe ameshajijengea Kizimkazi yake ili 2025 akajipumzikie huko, wewe unakuja na propaganda za kutaka eti aongezewe muda.
 
Acha fix, CCM na midahalo wapi na wapi. Mara ya mwisho CCM kushiriki midahalo ilikuwa 1995 - 2000.

Miaka 24 iliyopita, utabisha tena.
 
Kazi ya kuuza rasilimali zetu na kukopa mikopo? Akapimwe akili sio bure
 
Mnafanya makosa kutokuandika namba zenu za simu mwishoni mwa uzi....

Weka namba mkuu tukuunge kwenye gurupu la machawa.....au hutaki pesa ya bando
hakuna haja hata kidogo kwa namba ya simu ya mtu yeyote kua mahali popote, hiyo haina maana na si muhimu kabisa zaidi ya Ukweli bayana hapo juu....

zaidi sana,
mambo haya ya kitaalamu sio ya kuungaunga au kuungana, huu ni wajibu wa kipekee sana na wa kujitolea bila kujibakiza...

hakuna kulipwa wala malipo kusema Ukweli bali Neema na Baraka za Mungu za tosha...
Mungu Ibariki Tanzania πŸ’
 
Kazi ya kuuza rasilimali zetu na kukopa mikopo? Akapimwe akili sio bure
maoni na mtazamo wako ulojaa ghadhabu na mihemko ni uhuru na haki yako kikatiba,

hata hivyo,
hakuna athari zozote katika kuhakikisha huyu mama Dr Samia Suluhu Hassan waTanzania wanamshukuru kwa kumpatia ushindi wa kishindo bila kujali kiwango cha mihemko yao πŸ’
 
Acha fix, CCM na midahalo wapi na wapi. Mara ya mwisho CCM kushiriki midahalo ilikuwa 1995 - 2000.

Miaka 24 iliyopita, utabisha tena.
hakuna haja CCM kufanya mdahalo na yeyote,

chama kina wabunge zaidi ya mia4 kinajadiliana nini na chama ambacho hakina diwani moja nchi nzima,

that is useless and completely nonsense πŸ’
 
Wenyewe ameshajijengea Kizimkazi yake ili 2025 akajipumzikie huko, wewe unakuja na propaganda za kutaka eti aongezewe muda.
sio mimi ni waTanzania wazalendo wote nchi nzima, wameamua kwendra na Dr.Samia Suluhu Hassan, ngwe ya pili ya uongozi wa juu nchini πŸ’
 
Hawa chawa waharibifu wanaomsifia huku wao wanaiba na kuomba aendelee kuwapo waendelee kuiba fedha za umma.Mungu akandamize kisu kooni kwao.
 
Wewe ni jinga . Jinga huchagua hata matapeli na mafisadi. Mungu akuue haraka Sana ili nchi ipunguze majinga kama wewe
Mungu hatu, uwi tunakufa kwa uzembe wetu wenyewe na ujinga, tunakufa haraka tokana na jinsi tunavyo yaendesha maisha yetu
 
Hawa chawa waharibifu wanaomsifia huku wao wanaiba na kuomba aendelee kuwapo waendelee kuiba fedha za umma.Mungu akandamize kisu kooni kwao.
wewe heshimu maamuzi ya waTanzania kwa kipenzi chao Dr.samia suluhu Hassan, baki na makasiriko yako na jamaa yako wa kuomba omba kuchangiwa tu huku uvivu wa kazi ukimzonga πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…