Kama Tanzania imeuzwa watuambie basi

Kama Tanzania imeuzwa watuambie basi

Nebuchadneza

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2023
Posts
435
Reaction score
1,093
Salamu ya nini?

Haina maana umeme toka asubuhi mmekata then mnarudisha jioni, baada ya lisaa limoja mnakata tena, sasa mlirudisha ili iweje?

Masoko kila kukicha yanaungua, nauliza bandari mmetahifisha? Au tukisema ukweli mnatukamata na kutuma wale jamaa wasiojulikana kututeka.

Taifa linaloongozwa kibepari daima huwa la kipumbavu. Imefika hatua watanzania tujielewe.
 
Hii nchi usenge tu kumamake hali sio nzuri kila siku kama taifa tunazd kurudi nyuma aibu gan hii!? Jana wamekat umeme since morning saa2 usku ndio wanarudisha ,maji piah hvohvo halafu huo umeme wenyew wamerudisha baada ya kama nusu saa wakaukata tena hv ni nn hki lkn !? Taifa gan hili jmn mbona tunanyanyasana san ,unanikatia umeme hapohapo na maji tena haki tuamken wajinga hawa wametuzoea,

Uongoz wa juu nao wamesinzia usingz wa porno kbs daah! Polen yetu waTz Mungu atusaidie sana.
 
Baada ya kununua bandari, sasa nataka kuinunua TANESCO ili niigeuze kuwa shirika la kuuza tende na makobazi. Umeme nitawauzia mimi.
 
Hii nchi usenge tu kumamake hali sio nzuri kila siku kama taifa tunazd kurudi nyuma aibu gan hii!? Jana wamekat umeme since morning saa2 usku ndio wanarudisha ,maji piah hvohvo halafu huo umeme wenyew wamerudisha baada ya kama nusu saa wakaukata tena hv ni nn hki lkn !? Taifa gan hili jmn mbona tunanyanyasana san ,unanikatia umeme hapohapo na maji tena haki tuamken wajinga hawa wametuzoea,

Uongoz wa juu nao wamesinzia usingz wa porno kbs daah! Polen yetu waTz Mungu atusaidie sana.
Taifa linalongozwa na mwanamke kudadekii
 
Taifa linalongozwa na mwanamke kudadekii
Kwan Mwanamke sio mtu? Sehemu nyingi nimekuta Mwanamke anaongoza na Mambo yanaenda safi bila shida, hili la umeme litapita, suala la maji pia wameshalifanyia kazi Sasa maji ni salama kwa kunywa
 
Back
Top Bottom