ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,895
- 13,643
Ungewasikia Wanyakyusa wakisema; Kwa kweli tunaipongeza sana serikali kwa kuichagua Mbeya kuwa sehemu ya kupatwa na tetemeko la nchi.
Tumeona juhudi zao, na tunaomba sasa,..wasiishie hapo wajitahidi na mwakani pia litokee....waangalie na wilaya nyingine.
Asante sana ndugu mtangazaji sisi tuasema HAPA KAZI TU.
Lol! Mimi nasema wahanga poleni sana.
Tumeona juhudi zao, na tunaomba sasa,..wasiishie hapo wajitahidi na mwakani pia litokee....waangalie na wilaya nyingine.
Asante sana ndugu mtangazaji sisi tuasema HAPA KAZI TU.
Lol! Mimi nasema wahanga poleni sana.