Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Angalizo: tusipambane kutafuta credits, tupambane kukataa wahuni.Kama kutakua na mabadiliko yoyote ambayo ni "positive" kwa upande wa TOZO basi "credit" itaenda kwa CHADEMA kwakua wao ndio wamekua mstari wa mbele kupinga hili jini TOZO. haijawahi kutokea mwanaccm akapinga Tozo hadharani zaidi ya kusapoti.
Tunaweka tu records sawa......Mwenyekiti wa CCM Taifa anamwagiza Rais wa Tanzania kuangalia kilio cha wananchi tozo....
Ni muhimu kuweka records SAWA!Angalizo: tusipambane kutafuta credits, tuoambane kukataa wahuni.
Bottom line katiba mpya yenye IEBC ya Chebukati na Mahakama ya Koome.
Equation x unakwitwa huku.binadamu tunahusiwa kupendana,lakini sijajua kwanini watanzania wengi wakiwa kweye mikusanyiko aidha kwenye daladala,harusi au misiba huwa wanamsema vibaya sana Dr.Mwigulu Nchemba a.k.a Rais wa mawe.tatizo la kumchukia ni nini hasa,ni tozo au kauli zake za kuhamia Burundi?
Ila wanasema ni muhimu kujua namna ya kula na kipofu.Ni muhimu kuweka records SAWA!
Wenzetu wanakula na wanakushika mkono ukizubaa wanakufunika machoIla wanasema ni muhimu kujua namna ya kula na kipofu.
Wenzetu wanakula na wanakushika mkono ukizubaa wanakufunika macho
Naamini na Niko tayariJukumu la ukombozi ni letu sote.
"Maendeleo hayana chama." -- Alisikika akisema bwana yule.
Duuuuh nyingine?😬😳Anatafuta source nyingine ya TOZO
Hatari sanaKama kutakua na mabadiliko yoyote ambayo ni "positive" kwa upande wa TOZO basi "credit" itaenda kwa CHADEMA kwakua wao ndio wamekua mstari wa mbele kupinga hili jini TOZO. haijawahi kutokea mwanaccm akapinga Tozo hadharani zaidi ya kusapoti.
Tunaweka tu records sawa......Mwenyekiti wa CCM Taifa anamwagiza Rais wa Tanzania kuangalia kilio cha wananchi tozo....
Naamini na Niko tayari
He who laughs last, laughs longerSI waungwana husema, "he who laughs best, laughs last?"