Kama TOZO zitaondoshwa au kupunguzwa, basi CHADEMA watapata "credit" na siyo CCM

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kama kutakua na mabadiliko yoyote ambayo ni "positive" kwa upande wa TOZO basi "credit" itaenda kwa CHADEMA kwakua wao ndiyo wamekua mstari wa mbele kupinga hili jini Tozo. Haijawahi kutokea mwana CCM akapinga Tozo hadharani zaidi ya kusapoti.

Tunaweka tu records sawa, Mwenyekiti wa CCM Taifa anamwagiza Rais wa Tanzania kuangalia kilio cha wananchi tozo!
 
Angalizo: tusipambane kutafuta credits, tupambane kukataa wahuni.

Bottom line katiba mpya yenye IEBC ya Chebukati na Mahakama ya Koome.
 
binadamu tunahusiwa kupendana,lakini sijajua kwanini watanzania wengi wakiwa kweye mikusanyiko aidha kwenye daladala,harusi au misiba huwa wanamsema vibaya sana Dr.Mwigulu Nchemba a.k.a Rais wa mawe.tatizo la kumchukia ni nini hasa,ni tozo au kauli zake za kuhamia Burundi?
 
Equation x unakwitwa huku.
 
Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…