vizier
Member
- Jan 7, 2018
- 49
- 53
Zao la bangi limekuwa likilimwa sana Tanzania, na tumeona kwenye vyombo vya habari mara nyingi tu mashamba ya bangi yakiteketezwa.
Ni ukweli usiopingika kuwa tumbaku inamadhara makubwa kuliko bangi. Nchini malekani baadhi ya majimbo yamesha haralisha kilimo hicho na baadhi ya nnchi za ulaya.
I wapo nnchi yetu itaruhusu kilimo cha bangi itapelekea kuongeza fursa mpya za ajira na viwanda vipya, tutengeza wataalam wa kuweka katika kiwango kinachofaa.
Tutatafutia masoko ya kimataifa America na ulaya. Nakama sisi kwetu ni halamu basi tulifanye liwe zao la kusafirisha tu.
Najaribu tu kufikiri kwa sauti kubwa.
Ni ukweli usiopingika kuwa tumbaku inamadhara makubwa kuliko bangi. Nchini malekani baadhi ya majimbo yamesha haralisha kilimo hicho na baadhi ya nnchi za ulaya.
I wapo nnchi yetu itaruhusu kilimo cha bangi itapelekea kuongeza fursa mpya za ajira na viwanda vipya, tutengeza wataalam wa kuweka katika kiwango kinachofaa.
Tutatafutia masoko ya kimataifa America na ulaya. Nakama sisi kwetu ni halamu basi tulifanye liwe zao la kusafirisha tu.
Najaribu tu kufikiri kwa sauti kubwa.