Kama tukio hili lingekuwa Jijini Dar Es Salaam hawa askari wangekuwa na kazi?

Kama tukio hili lingekuwa Jijini Dar Es Salaam hawa askari wangekuwa na kazi?

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Kelele huwa ni nyingi sana pale inapoonekana chombo cha usafiri hasa wa umma pale jijini Dar kujaza abilia kupita kiasi.



(Kwa wasio na bundle)πŸ‘‡πŸΎ

Baada ya kupita mitaa fulani nikakutana na tukio hili, hapo ni China na hiyo ni treni ya mapema sana kutoka mji A kwenda mji B.

Kutokana na wingi wa abiria ni wanajazana hadi Askari wa Usalama Stesheni wanaamua, siyo anaamua, bali wanaitana kuwasukumiza abilia waingie ili mradi mlango ufunge.

Nikajiuliza hawa si ndiyo wametuzidi kwa kila kitu, why this?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Very smart. Sio kama bongo. Hapo watu wamejipanga boss.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Very smart. Sio kama bongo. Hapo watu wamejipanga boss.
Wabongo tuna safari ndefu sana asee.

Sasa wewe umekomenti kitu gani hapa mkuu😳!.
 
Si wametaka wenyewe kujaa ndani ya treni kama vitunguu kwenye kisado...
 
Walivurundikwa humo kutoka wenye pafyum watatoka na harufu za vikwapa vya kila aina.

Bongo hii ni hatari na nusu kuanzia treni yenyewe(kwanza used)
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Screenshot_2023_0301_154816.jpg
 
Kiukwel kwenye usafiri wa uma hata ulaya wanajazana,sema tofauti yetu na wao ni kupanda kistaarabu yaan smart[emoji23][emoji23] ...sisi tunaingilia mpaka madirishani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom