TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Hili ni jambo jema sana pongezi kwa mheshimiwa rais Samia Hassan.
Ila nilikuwa namuomba rais kupitia kiti chake aliombe bunge kuangalia upya ile sheria ya kale kamshikaji kalichopelekea mwanafunzi kupata ujauzito basi wasiwe wanafungwa jera wanaweza pewa tu adhabu ya faini.
Hii itasaidia katika kujenga saikolojia ya mama na pia mtoto kupata malezi bora. Kwa ss tulioishi nje ya nchi tunafahamu kwamba nchi zingine hakuna kifungo kama ukimpa mwanafunzi ujauzito maana ni jambo la kheri.
ila unapomfunga mzazi mmoja unakuwa unampokonya haki ya mtoto kupata malezi ya wazazi wote wawili pia kisaikolojia na kiuchumi mama anaathirika maana baba anakuwa ndio mlezi just imagine mtu ana mtoto harafu yupo peke yake analea mtoto.
Mwisho jera zetu zinajaa bure tu ,kwani moja ya maagizo ya Mungu kwa mwanadamu ni kuzaa na kuijaza dunia sisi ni nani wa kupingana na maagizo ya Mungu.
#Tuwaache huru wasome na waijaze dunia.
Hili ni jambo jema sana pongezi kwa mheshimiwa rais Samia Hassan.
Ila nilikuwa namuomba rais kupitia kiti chake aliombe bunge kuangalia upya ile sheria ya kale kamshikaji kalichopelekea mwanafunzi kupata ujauzito basi wasiwe wanafungwa jera wanaweza pewa tu adhabu ya faini.
Hii itasaidia katika kujenga saikolojia ya mama na pia mtoto kupata malezi bora. Kwa ss tulioishi nje ya nchi tunafahamu kwamba nchi zingine hakuna kifungo kama ukimpa mwanafunzi ujauzito maana ni jambo la kheri.
ila unapomfunga mzazi mmoja unakuwa unampokonya haki ya mtoto kupata malezi ya wazazi wote wawili pia kisaikolojia na kiuchumi mama anaathirika maana baba anakuwa ndio mlezi just imagine mtu ana mtoto harafu yupo peke yake analea mtoto.
Mwisho jera zetu zinajaa bure tu ,kwani moja ya maagizo ya Mungu kwa mwanadamu ni kuzaa na kuijaza dunia sisi ni nani wa kupingana na maagizo ya Mungu.
#Tuwaache huru wasome na waijaze dunia.