Tunaomba Muheshimiwa raisi aige mfano wa Ghana kama tunataka kuinua uchumi wetu Kwa kutumia wafanyabiashara wetu na sio kuongeza kodi au kuwabana wafanyabiasha na kusababisha wengine kufunga biashara zao. Kama tunataka transformation kweli ya viwanda njia ni hii
We don't have such visionary leaders to foresee the future my friend. So hutaeleweka kwa viongozi wetu.
Refer speech ya msigwa kuhusu Small minds leading Big ones.
Ghana wapo vizuri kichwani sio huku wanakariri tuu kwa sasa kuwekeza Ghana ni salama sana na kuangalia fursa ukizingatia sana uzalendo unakufa masikini tuu..