kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,818
Naona kila mtu anasema Taifa stars ni mbovu, hata kufungwa na Senegal watu wengi wanasema tulistahili, sasa kama tuliyajua haya tulihamasishana kushinda kwenda afcon kufanya nini?? Kwenda kugawa point? Kama tunajikubali kwamba sisi ni wabovu hivi tutasinda hata game moja kweli??
Mbona Uganda amempiga DRC wakat Sisi tulidroo na Uganda tena nchini kwao??
Kwanini basi tusiache kushiriki mashindano yoyote angalau kwa miaka hata 10 hivi tuandae timu kwa mikakati thabiti kuliko kwenda kugawa point huko?
Mbona Uganda amempiga DRC wakat Sisi tulidroo na Uganda tena nchini kwao??
Kwanini basi tusiache kushiriki mashindano yoyote angalau kwa miaka hata 10 hivi tuandae timu kwa mikakati thabiti kuliko kwenda kugawa point huko?