Simba SC hatuna Shabiki ' Popoma ' kama Wewe tafadhali sawa? Kahangaike na Makipa wako Wawili wa Yanga SC ' wanaorogana ' kila Kukicha hadi lawama zimeshafika katika Uongozi wa Juu.
Mleta mada kahongwa a.k.a kapewa mlungula si kwa povu hili. Basi mpeleke kwenye timu yenu ya Rwanda a.k.a Amavumbi maana we unajulikana kabisa bila ni Mkimbizi toka Rwanda unayejivika uzanaki.