Kama tunazalisha jumla ya Megawati 1600 iweje upungufu wa Megawati 300 usababishe mgao mkali hivi?

Kama tunazalisha jumla ya Megawati 1600 iweje upungufu wa Megawati 300 usababishe mgao mkali hivi?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Jana TANESCO wametoa taarifa kuwa kuna upungufu wa Megawati 300 kutokana na ukame na matengenezo yanayoendelea

Sasa nikawaza kama tunazalisha jumla ya Megawati 1600 basi kukitokea upungufu wa Megawati 300 ni umeme mdogo sana ukilinganisha na uzalishaji wetu,

So inakuwaje upungufu wa megawati 300 kati ya 1600 unasababisha mgao mkali kiasi hiki?

Maana kuna baadhi ya miji umeme unakatika masaa 16 kwa siku, haya yote kwa upungufu wa megawati 300 pekee!?
 
Jana TANESCO wametoa taarifa kuwa kuna upungufu wa Megawati 300 kutokana na ukame na matengenezo yanayoendelea

Sasa nikawaza kama tunazalisha jumla ya Megawati 1600 basi kukitokea upungufu wa Megawati 300 ni umeme mdogo sana ukilinganisha na uzalishaji wetu,

So inakuwaje upungufu wa megawati 300 kati ya 1600 unasababisha mgao mkali kiasi hiki?

Maana kuna baadhi ya miji umeme unakatika masaa 16 kwa siku, haya yote kwa upungufu wa megawati 300 pekee!?
Kinachofanyika hapa ni utapeli, uongo na ushenzi.
Washenzi sana hawa watu aiseh
 
Jana TANESCO wametoa taarifa kuwa kuna upungufu wa Megawati 300 kutokana na ukame na matengenezo yanayoendelea

Sasa nikawaza kama tunazalisha jumla ya Megawati 1600 basi kukitokea upungufu wa Megawati 300 ni umeme mdogo sana ukilinganisha na uzalishaji wetu,

So inakuwaje upungufu wa megawati 300 kati ya 1600 unasababisha mgao mkali kiasi hiki?

Maana kuna baadhi ya miji umeme unakatika masaa 16 kwa siku, haya yote kwa upungufu wa megawati 300 pekee!?
Awamu ya tano zilikuwa megawatt 1600. Awamu hii Nafikiri zinaweza kuwa megawatt 450! Si unakumbuka tuliambiwa maji kwenye mabwawa ya Kidatu, Mtera, Nyumba ya...., yalikuwa yana funguliwa makusudi - kusudi umeme usipatikane makusudi Mazima ili watu kadhaa wafaidike!
Usishangae kuambiwa ni megawatts 300 zinazo kosekana, halafu umeme wa shida.
 
Tubadilike watanzani tuanze kupanda miti tutalaume tanesco mpaka lini.idadi ya watu imeongezeka. watu wanao ingiza umeme ni wengi.Lakin Uharibifu wa mazingira umekidhiri sana.watu wanakatakata ovyo miti ndio chanzo cha chemichemi kukauka.
 
Mahitaji ya nchi ni megawatts ngapi?
Screenshot_2022-11-23-23-12-02-72_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Tubadilike watanzani tuanze kupanda miti tutalaume tanesco mpaka lini.idadi ya watu imeongezeka. watu wanao ingiza umeme ni wengi.Lakin Uharibifu wa mazingira umekidhiri sana.watu wanakatakata ovyo miti ndio chanzo cha chemichemi kukauka.
kumbuka tanesco wenyewe ndiyo wanaongoza kukata miti walikopitisha nyaya zake
 
Jana TANESCO wametoa taarifa kuwa kuna upungufu wa Megawati 300 kutokana na ukame na matengenezo yanayoendelea

Sasa nikawaza kama tunazalisha jumla ya Megawati 1600 basi kukitokea upungufu wa Megawati 300 ni umeme mdogo sana ukilinganisha na uzalishaji wetu,

So inakuwaje upungufu wa megawati 300 kati ya 1600 unasababisha mgao mkali kiasi hiki?

Maana kuna baadhi ya miji umeme unakatika masaa 16 kwa siku, haya yote kwa upungufu wa megawati 300 pekee!?

Umejiuliza kama hizo 1600MW zinatosha au lah?
 
Mahitaji yetu ni 1300

Hizi ni takwimu za kisiasa, umeme unaozalishwa sio toshelevu haswa kwa viwanda...

Umeme ungekuwa toshelevu viwanda kama Dangote, Raddy n.k wasingekuwa na mitambo ya kuzalisha umeme mbadala
 
Mahitaji ya nchi ni megawatts ngapi?
Tunazal8sha 1900Megawatts na Mahitaji ni 1500Megawatts na hivyo tuna balance ya 400Megawatts....Shortage niv300Megawatts!

Je!
Mgao ni wa nini?
 
Back
Top Bottom