Kama tutakuwa wakweli, Dk Slaa ana jema na nini kwa Chadema mbali na yule anayempigia kampeni na upatu?

Kama tutakuwa wakweli, Dk Slaa ana jema na nini kwa Chadema mbali na yule anayempigia kampeni na upatu?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA aliyejirejesha CCM na kupewa ubalozi kabla ya kuenguliwa na Samia Suluhu Hassan, Dk Wilbrod Slaa alisikika akijifanya kukipenda CHADEMA hadi kutaka kushiriki kupiga kampeni kwenye uchaguzi wake. Je ana nini au alisahau nini CHADEMA? Inawezekana mwana CCM kama Slaa kuwa na lolote laheri kwa CHADEMA alichohama baada ya kukisaliti alipoahidiwa cheo? Kama tutakuwa wakweli, Dk Slaa bado anaaminika kama alivyo. kabla ya kutimkia CCM? Je itakuwaje ukisikia mtu kama Peter Msigwa akidai anataka demokrasia ndani ya CHADEMA? Kwanini hawa vyangu wa kisiasa hawashinikizi demokrasia. ndani ya chama chao CCM?
 
Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA aliyejirejesha CCM na kupewa ubalozi kabla ya kuenguliwa na Samia Suluhu Hassan, Dk Wilbrod Slaa alisikika akijifanya kukipenda CHADEMA hadi kutaka kushiriki kupiga kampeni kwenye uchaguzi wake. Je ana nini au alisahau nini CHADEMA? Inawezekana mwana CCM kama Slaa kuwa na lolote laheri kwa CHADEMA alichohama baada ya kukisaliti alipoahidiwa cheo? Kama tutakuwa wakweli, Dk Slaa bado anaaminika kama alivyo. kabla ya kutimkia CCM? Je itakuwaje ukisikia mtu kama Peter Msigwa akidai anataka demokrasia ndani ya CHADEMA? Kwanini hawa vyangu wa kisiasa hawashinikizi demokrasia. ndani ya chama chao CCM?
very true. Leo eti Slaa ana mapenzi na chadema. Slaa ni chuki na Mbowe..

ngoja maria spaces itamuwekea dhamana
 
Anaweza asiwe na jema na Chadema ila anaweza Kuwa na lengo na chuki na Mbowe! Mbowe hawezi sogeza hiki chama mbele tena
 
Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA aliyejirejesha CCM na kupewa ubalozi kabla ya kuenguliwa na Samia Suluhu Hassan, Dk Wilbrod Slaa alisikika akijifanya kukipenda CHADEMA hadi kutaka kushiriki kupiga kampeni kwenye uchaguzi wake. Je ana nini au alisahau nini CHADEMA? Inawezekana mwana CCM kama Slaa kuwa na lolote laheri kwa CHADEMA alichohama baada ya kukisaliti alipoahidiwa cheo? Kama tutakuwa wakweli, Dk Slaa bado anaaminika kama alivyo. kabla ya kutimkia CCM? Je itakuwaje ukisikia mtu kama Peter Msigwa akidai anataka demokrasia ndani ya CHADEMA? Kwanini hawa vyangu wa kisiasa hawashinikizi demokrasia. ndani ya chama chao CCM?
Slaa awekwe pembeni ni msaliti mkubwa.
 
Back
Top Bottom