Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Huyu jamaa bwana anaelekkea mtalaam
KAMA UCHAGUZI UNGELIFANYIKA WIKI JANA MATOKEO NI..
Tetesi ndani ya chama changu tawala kulingana na kura ya maoni waliyoigharimia wao wenyewe kama uchaguzi ungelifanyika wiki iliyopita matokeo yangelikuwa kama ifuatavyo:-
A. URAISI
JINA ASILIMIA
1.0 Dr. Slaa…………………………50
2.0 JK……………………………….35
3.0 Prof. Lipumba………………….14
4.0 Wengineo………………………. 1
B. UBUNGE
CHAMA IDADI YA VITI
1.0 CHADEMA……………………………101
2.0 CCM………………………………… 66
3.0 CUF……………………………………30
4.0 WENGINEO………………………………...5
5.0 TOO CLOSE TO CALL…………….. 8
C. MADIWANI
1.0 CCM……………………..52%
2.0 CHADEMA…….. 38%
3.0 CUF……………. 9%
4.0 WENGINEO……. 1%
USIBANDUKE KITUONI LINDA KURA YAKO SIKU YA UCHAGUZI
Ni nani walioendesha hiyo tathimini?
Synovate wamenishangaza sana, wanafanya tathimini Kenya ambako uchaguzi ni mwaka 2012, halafu wanadai eti hawajafanya tathimini Tanzania ambako uchaguzi unafanyika mwezi ujao. Kaazi kweli kweli!
Kwa sasa hizo tathimini si muhimu sana, muhimu ni kuongeza kasi kwenye kampeni na kusambaza habari njema kwa wengi.
Tathimini ina impact mijini ambako sometimes turnout huwa ni poor kwa kuwa kuna watu wana hisia ambazo ni negative kwenye uchaguzi na hivyo inawakatisha tamaa wasiende kupiga kura.
KAMA UCHAGUZI UNGELIFANYIKA WIKI JANA MATOKEO NI..
Tetesi ndani ya chama changu tawala kulingana na kura ya maoni waliyoigharimia wao wenyewe kama uchaguzi ungelifanyika wiki iliyopita matokeo yangelikuwa kama ifuatavyo:-
A. URAISI
JINA ASILIMIA
1.0 Dr. Slaa…………………………50
2.0 JK……………………………….35
3.0 Prof. Lipumba………………….14
4.0 Wengineo………………………. 1
B. UBUNGE
CHAMA IDADI YA VITI
1.0 CHADEMA……………………………101
[B]2.0 CCM………………………………… 66[/B]
3.0 CUF……………………………………30
4.0 WENGINEO………………………………...5
5.0 TOO CLOSE TO CALL…………….. 8
C. MADIWANI
1.0 CCM……………………..52%
2.0 CHADEMA…….. 38%
3.0 CUF……………. 9%
4.0 WENGINEO……. 1%
USIBANDUKE KITUONI LINDA KURA YAKO SIKU YA UCHAGUZI
Kabla ya uchaguzi CCM imekwisha jihakjkishia viti zaidi ya 80 ambavyo wagombea wao wamepita bilka kupingwa,Je navyo vitafutwa.
Tafiti nyingine ni za kujiliwaza tu,Wewe hamasisha watu wajitokeze kupiga kua kwa wingi siyo kutoa takwimu za kupotosha watu
Kabla ya uchaguzi CCM imekwisha jihakjkishia viti zaidi ya 80 ambavyo wagombea wao wamepita bilka kupingwa,Je navyo vitafutwa.
Tafiti nyingine ni za kujiliwaza tu,Wewe hamasisha watu wajitokeze kupiga kua kwa wingi siyo kutoa takwimu za kupotosha watu