Kama uchumi wako uko vizuri tafuta mwanamke atakayetulia nyumbani akulelee familia yako

Kama uchumi wako uko vizuri tafuta mwanamke atakayetulia nyumbani akulelee familia yako

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
π— π—π—¨π—žπ—¨π—¨ π—ͺπ—”π—‘π—šπ—¨ π—‘π—”π—žπ—¨π—¨π—¦π—œπ—”
1732191148182.jpg

Kama uchumi wako uko vizuri tafuta mwanamke atakayetulia nyumbani akulelee familia yako, ikiwezekana hata sokoni nenda mwenyewe, Hawa wanaotaka haki sawa mtoke wote asubuhi mrudi usiku, mara wapo safarini mkoa fulani kikazi watakuja kukuzamisha matopeni na hautaamini.

Stara bora kwa mwanamke ni kutulia nyumban kwake.
 
π— π—π—¨π—žπ—¨π—¨ π—ͺπ—”π—‘π—šπ—¨ π—‘π—”π—žπ—¨π—¨π—¦π—œπ—”
View attachment 3157831
Kama uchumi wako uko vizuri tafuta mwanamke atakayetulia nyumbani akulelee familia yako, ikiwezekana hata sokoni nenda mwenyewe, Hawa wanaotaka haki sawa mtoke wote asubuhi mrudi usiku, mara wapo safarini mkoa fulani kikazi watakuja kukuzamisha matopeni na hautaamini.

Stara bora kwa mwanamke ni kutulia nyumban kwake.
Hayana kanuni!

Utamwacha nyumbani atabebwa na mjinga wa kitaa!
Omba Mungu upate alie sahihi wa kumuoa na sio aina fulani!!

Unaweza ukasema upate wa nyumbani kumbe was ofisini ndio sahihi kwako!
 
Uko sahihi! Kama una uchumi mzuri mke wako anapaswa kufanya kazi ya kulea familia tu na sio vinginevyo!
N.B: Mwanamke hajaumbwa kupambana mwanamke ni pambo😎
KabisaπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ
 
Sahihi kabisa, na ikiwa umeona ni ngumu kutekelezeka subiri machungu ndo utajua Hilo linawezekana, Allah anasema kuwaambia wanawake: Kaeni majumbani mwenu Wala msitoketoke majumbani mwenu. Na hiyo ni kwa kipato chochote kilichokufanya ukaweza kuoa, na si eti mpaka uchumi wako uwe mzuri.
 
Uko sahihi! Kama una uchumi mzuri mke wako anapaswa kufanya kazi ya kulea familia tu na sio vinginevyo!
N.B: Mwanamke hajaumbwa kupambana mwanamke ni pambo😎
Kasome vizuri mithali 31 :10-24 uone mke mwema alivyo!!

Uone bibi yako yuleeee was zamani alivyokua!!

Wanawake waliolewa tangy zamani wafanye kazi nyingi sana za uzalishaji na KAZI ya mwanamme ilikua ni kuelekeza kipi sahihi kifanyike na yeye mke afanye sahihi kilichoelekezwa!!

Ulipoingia ushetani wanawake wakawa wavivu eti wao watoe uke ili wahudumiwe yaani biashara ya HUDUMA Kwa UKE kwenye ndoa ndivyo ilivyo Sasa ambavyo ni ushetani!!!

Kuzaa Kwa uchungu na kula Kwa jasho ni laana aliyopewa mwanadamu sio majukumu kama wengi wanavyojitahidi kuhubiri siku hizi ili kuhalalisha biashara haram!!

Nenda kasome uone,jinsi anavyoamka mapema kupalilia mizabibu na kazi kibao Hadi mumewe humuamini!!!
Mithali 31
10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani.

11 Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato.

12 Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake.

13 Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo.

14 Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali.

15 Tena huamka, kabla haujaisha usiku; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.

16 Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.

17 Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu.

18 Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.

19 Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.

20 Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.

21 Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.

22 Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.

23 Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.

24 Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi.

25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.

26 Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema i katika ulimi wake.

27 Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.

28 Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema,

29 Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote.

30 Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye Bwana, ndiye atakayesifiwa.

31 Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.
 
Kasome vizuri mithali 31 :10-24 uone mke mwema alivyo!!

Uone bibi yako yuleeee was zamani alivyokua!!

Wanawake waliolewa tangy zamani wafanye kazi nyingi sana za uzalishaji na KAZI ya mwanamme ilikua ni kuelekeza kipi sahihi kifanyike na yeye mke afanye sahihi kilichoelekezwa!!

Ulipoingia ushetani wanawake wakawa wavivu eti wao watoe uke ili wahudumiwe yaani biashara ya HUDUMA Kwa UKE kwenye ndoa ndivyo ilivyo Sasa ambavyo ni ushetani!!!

Kuzaa Kwa uchungu na kula Kwa jasho ni laana aliyopewa mwanadamu sio majukumu kama wengi wanavyojitahidi kuhubiri siku hizi ili kuhalalisha biashara haram!!

Nenda kasome uone,jinsi anavyoamka mapema kupalilia mizabibu na kazi kibao Hadi mumewe humuamini!!!
Mithali 31
10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani.

11 Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato.

12 Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake.

13 Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo.

14 Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali.

15 Tena huamka, kabla haujaisha usiku; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.

16 Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.

17 Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu.

18 Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.

19 Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.

20 Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.

21 Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.

22 Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.

23 Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.

24 Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi.

25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.

26 Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema i katika ulimi wake.

27 Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.

28 Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema,

29 Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote.

30 Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye Bwana, ndiye atakayesifiwa.

31 Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.
Uwe unasoma kuelewa sio unasoma ili ujibu! Alafu mimi sijaongelea wanawake wanaotumia jinsia yao kama fimbo kupata mahitaji! Nimesema kama una uchumi mzuri ni vyema ukampa mke wako majukumu ya kulea familia pekee kwa ridhaa yako mwenyewe! Kama una uwezo wa kumuhumia vyote na akaridhia mwenyewe hana haja wa kufanya kazi ni bora zaidi akae alee familia!
 
Back
Top Bottom