FurtherOfTheSun
Member
- Aug 31, 2023
- 28
- 72
Nina uhitaji na PC kama uko Dom una PC umeichoka ila ni nzima na nzuri niuzie kwa bei ya kitanzania ya kulia lia nami inisogeze kwenye mambo yangu
Fanya kama unanisaidia
Fanya kama unanisaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka picha na specificationsNipo dar,ongea una bei gani mashine zipo used na Mpya naweza kutuma Dodoma..core 2 duo 170k
Umesema ya bei rahisi na hujasema una bei gani,sema una kiasi gani ndio niorodheshe PCs zenye thamani hiyoWeka picha na specifications
Top up unafanyaUmesema ya bei rahisi na hujasema una bei gani,sema una kiasi gani ndio niorodheshe PCs zenye thamani hiyo
Ndio mkuu,una mzigo ganiTop up unafanya
Ina ukubwa gani processor yake..Hiyo Asus vivobook 15 View attachment 3008417View attachment 3008418
2.50 GHzIna ukubwa gani processor yake..
Mashine yako sio ndogo, unataka ku top up kwenye Nini zaidi?? Core i7,au Graphics kubwa zaidi ya hiyo..2.50 GHz
UHD Intel graphic
Ssd 256 ,hhd 1tb
Bluetooth
All port work well
Ingekuwa vizuri tungeongea private 0627796644Mashine yako sio ndogo, unataka ku top up kwenye Nini zaidi?? Core i7,au Graphics kubwa zaidi ya hiyo..
Slide PM mkuu,Ingekuwa vizuri tungeongea private 0627796644
Hujui maduka yaliko? Mbona used kibao tu bei chee!!!!!Nina uhitaji na PC kama uko Dom una PC umeichoka ila ni nzima na nzuri niuzie kwa bei ya kitanzania ya kulia lia nami inisogeze kwenye mambo yangu
Fanya kama unanisaidia