Kama ulijifunzia baiskeli kwa staili hii eeiiish!! 2018 oa/olewa na utoke kwenu

Kama ulijifunzia baiskeli kwa staili hii eeiiish!! 2018 oa/olewa na utoke kwenu

thA goD

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2017
Posts
1,943
Reaction score
1,851
Hello!,

Kama kichwa rungu hapo juu kinavyotanabahi kama wew ulijifunza baiskeli kwa mtindo unaoonekana pichani hapo chini tafwadhali 2018 oa/olewa na utoke kwenu usiwa-parasite wazee wako.

Unakuta lijamaa,au libibi lizima lipo kwao kazi kufunua mahotpot na kumkomandi house girl as if nyumba ni ya kwake eish we limtu hapo sio kwako toka katafute mji wako mnakera eti.

Afu sasa unakuta kama ni mwanaume ndo tabia zinashuka kabisa kwa wazee kutwa kuingiza madem kwa hau,kama ni manzi eish linashinda club for nothing toka kwenu Mze.


8721c16eec36e6e734718cc53167cfb0.jpg

[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Dah! Ngoja nifanye kweli 2018 sitaki niachwe nyuma, nitafanya kweli.
 
Daa, mbali sana!! Tuliita matobo hiyo..... Anita, Phoenix na Phillips zilitawala enzi hizo...
 
Hello!,

Kama kichwa rungu hapo juu kinavyotanabahi kama wew ulijifunza baiskeli kwa mtindo unaoonekana pichani hapo chini tafwadhali 2018 oa/olewa na utoke kwenu usiwa-parasite wazee wako.

Unakuta lijamaa,au libibi lizima lipo kwao kazi kufunua mahotpot na kumkomandi house girl as if nyumba ni ya kwake eish we limtu hapo sio kwako toka katafute mji wako mnakera eti.

Afu sasa unakuta kama ni mwanaume ndo tabia zinashuka kabisa kwa wazee kutwa kuingiza madem kwa hau,kama ni manzi eish linashinda club for nothing toka kwenu Mze.


8721c16eec36e6e734718cc53167cfb0.jpg

[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Chukua maji kubwa nakuja kulipa hapo kwa mangi Rafa dhal
 
Hello!,

Kama kichwa rungu hapo juu kinavyotanabahi kama wew ulijifunza baiskeli kwa mtindo unaoonekana pichani hapo chini tafwadhali 2018 oa/olewa na utoke kwenu usiwa-parasite wazee wako.

Unakuta lijamaa,au libibi lizima lipo kwao kazi kufunua mahotpot na kumkomandi house girl as if nyumba ni ya kwake eish we limtu hapo sio kwako toka katafute mji wako mnakera eti.

Afu sasa unakuta kama ni mwanaume ndo tabia zinashuka kabisa kwa wazee kutwa kuingiza madem kwa hau,kama ni manzi eish linashinda club for nothing toka kwenu Mze.


8721c16eec36e6e734718cc53167cfb0.jpg

[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Mke bora anatokea kwao, eidha kwa wazazi au kwa walezi wake.
Oa wasela at your own peril.
 
Wakasemaga ''MAKAVELI'' ukiipanga inaleta neno '' AM ALIVE'' hahahhaha
Na hiyo K umeipeleka Wapi mkuu? Kadanganye wa KANDA ya ZIWA uchakachuaji huu[emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom