Kama ulipelekwa ICU February ...

Kama ulipelekwa ICU February ...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Kama ndo wewe ulipoteza fahamu ukapelekwa ICU mwezi February..
Ukafanikiwa kutoka na kupona mwezi wa nane...yaani miezi sita ulikuwa hujui
Nini kinaendelea nchi hii..
Ghafla unatazama TV ..Rais ni Samia..
Unajaribu kuuliza unaambiwa JPM alifariki..zinakuja habari za michezo ..
Msemaji wa Yanga Haji Manara....

Unaweza sema hukazinduka bado?Uko kwenye usingizi unaona mauzauza?

Umewahi kuwaza how hii miezi sita imekwenda Kasi sana Tz?
 
Hujakaa vizuri unaingia youtube unakutana na Polepole anaishambulia serikali na kumsuta rais kwenye kipindi chake anachokirekodi sebleni kwake.

Unavuta pumzi kidogo, gafla unaona gazeti mezani unacheki front page unaona picha ya waziri gwajima na naibu wake dr. mollel wamevaa barakoa kubwa zimewaziba hadi macho.
 
Unashangaa kigogo anaunga mkono juhudi za mama huku akiwakashifu kuwadhihaki na kuwatukana upinzani
 
Back
Top Bottom