kama ulishwawahi kuibiwa Project yako na unamfahamu aliyekuibia ni wakati wako wa kulipwa sasa

Watu wengi wameumizwa na watu wameibiwa project zao messenge nazopata zinatisha , but lazima kieleweke
 
ukiandika project kwenye jukwaa humu jf mtu akaichukua huwezi kusema imeibiwa, tuwekane sawa hapo wakuu.
 
ukiandika project kwenye jukwaa humu jf mtu akaichukua huwezi kusema imeibiwa, tuwekane sawa hapo wakuu.
Real ukiweka public kama haina restrictions basi huwez sema umeibiwa , sheria ipo wazi kabisa
 
2021 vita inaendelea
 
Wakati mimi namiliki smartphone na kitanda cha kurithi vyenye thamani ya laki 250000
 
 
W
Wadau ni miaka mitatu tangu niandike hii meseji sasa naomba nitumie nafasi hii ni kweli yapo maumivu kwa watu wengi hasa upande wa IT, Computer science na Related field, baada ya kuongea na wadau mbalimbali wenye maumivu kama hayo tumekuja na suluhisho ambalo tutalitoa soon, na hakika litasaidia kupunguza au kuondoa hii hali ya mmoja kuwaza mwingine akala bila kumkumbuka aliyewaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…