Kama uliwahi Kuzitumia hizi Pesa basi wewe utakuwa umepita umri wa miaka 40

Kama uliwahi Kuzitumia hizi Pesa basi wewe utakuwa umepita umri wa miaka 40

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
13312879_276246049385446_7856946766592726239_n.jpg



13310408_276272069382844_4446886236866360093_n.jpg



13315461_276246259385425_7087049875267420199_n.jpg


13319859_276271989382852_6980273513888065131_n.jpg



13339465_276245696052148_3725492522857530390_n.jpg


13321734_276272022716182_4159809057068587393_n.jpg



13332793_276246079385443_2865774730128106529_n.jpg


13332978_276245932718791_6332327388689358967_n.jpg


13335541_276245876052130_7115558337945305741_n.jpg



13339465_276245696052148_3725492522857530390_n.jpg



13339492_276271096049608_676008393598289323_n.jpg

Mimi Nimepita zaidi ya miaka 60 nimeshazitumia hizo pesa tangu Enzi wa Baba wa Taifa Mwalim Nyerere kisha akaja Mzee Wa Ruksa Marehemu Mzee Mwinyi.
 
Nyingi nimezikuta kwenye matumizi ila 40 sijafika.
- Sh 10 ya noti sikumbuki kutumia
- Noti ya sh 100 hiyo ya mwisho sikumbuki kuikuta, ila 100 hiyo nyingine nimetumia.

Zilizobaki zote nimetumia.
 
Nyingi nimezikuta kwenye matumizi ila 40 sijafika.
- Sh 10 ya noti sikumbuki kutumia
- Noti ya sh 100 hiyo ya mwisho sikumbuki kuikuta, ila 100 hiyo nyingine nimetumia.

Zilizobaki zote nimetumia.
Hizo za shilingi 100 ulitumia ya Mzee Mwinyi au baba wa Taifa Mwalimu Nyerere?
 
Weka na zile coin zenye tundu za mkoloni ili na sisi tujue tuna umri gani.
 
Mkuu nina 44 ila nimetumia zote..leo umenifurahisha kwanzaa Kwenye hiyo Mia mbili umeweka mara mbili mro anaweza asielewe ila mi kwamba zilikua mbili tofauti...kubwa na ndogo...
Halafu hiyo hamsini ya noti ilikua maarufu sana..na hiyo Mia nyekundu ilikua deal
Nimeikumbuka hiyo noti ya 20 ungeweka na ila ya shilingi 10...natumwa mafutataa ya thumni aisee...
Thanks bro for a good memories!
 
Hizi hela zilitakiwa ziendelee kuwepo mpaka sasa! Ila ndiyo hivyo tena. Mabeberu wakaona watukomeshe, baada tu ya Mwalimu kuangukia pua na ile sera yake ya Ujamaa na Kujitegemea.
 
200 ya mwinyi nmetumia
500 ya mwinyi nmetumia ila sna miaka40
 
Back
Top Bottom