Kama umeangalia kwa Umakini 'Picha' ya Leo ya Spika Ndugai na 'Her Excellence' Ikulu 'Dom' kwa Jicho la 'Saikolojia: utagundua tu yafuatayo

Kama umeangalia kwa Umakini 'Picha' ya Leo ya Spika Ndugai na 'Her Excellence' Ikulu 'Dom' kwa Jicho la 'Saikolojia: utagundua tu yafuatayo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Katumia Nguvu Kubwa sana ma Juhudi nyingi mno Kuomba kwenda Ikulu Dodoma leo na yawezekana asingepata nafasi hii Presha yake ingepanda na kuanzia Usiku huu au Kesho 'abbreviations' za R.I.P zingeanza Kutawala Kwake kila ukimuita, ukimtaja Hewani.

2. Tokea alipojiuzuru ana Huzuni Moyoni ya 98% na Furaha ya Kulazimisha ya 2% tu

3. Ana Maumivu makubwa na hayuko vyema Kiafya na huenda saaa akendelea tu Kuugua mpaka pale akipokea Maagizo kutoka Juu ya Kumpumzisha Kimoja

4. Kabla ya kutoka pale nje ( Mlangoni ) na kupiga Picha inayosambaa Mitandaoni itakuwa alimpigia mno Mtu Magoti, akagalgala, akamlamba Miguu na pengine hata kuomba asuuze Vyombo vichafu vilivyotumiwa na Wageni Ikulu na akapiga sana Deki Bafuni / Maliwatoni

5. Ameshakata Tamaa ya Maisha na anahisi muda Wowote nas anatuachia Tanzania yetu na kwenda Kupumzika mazima Ardhini

6. Kaathirika Kisaikolojia na kwamba Siku zake za kuendelea Kuishi unaweza hata 'Ukazibetia' kwa Mhindi Mkekani

7. Amepata na anaendelea bado kupata Vitisho kutoka kwa 'Chawa Gegedo' wa Mtu na inaonyesha Vitisho hivi vinamnyima Furaha na Usingizi kupelekea pengine hata Kujutia alichokifanya

Ushauri wangu atibiwe mno Kisaikolojia.
 
Kuna watanzania wamesoma lakini hawajui kuchambua mambo makubwa yanayoendana hata na elimu zao na wanapiga hoja kwa neno siyo hoja kwa hoja pole Tanzania tuna safari ndefu sana

Mtoa mada pole kwa kuzaliwa kwenye jamii hii
Ila usikate tamaa kuna siku mambo kama haya yataeleweka hata kwenye kizazi kingine
 
Kuna watanzania wamesoma lakini hawajui kuchambua mambo makubwa yanayoendana hata na elimu zao na wanapiga hoja kwa neno siyo hoja kwa hoja pole Tanzania tuna safari ndefu sana

Mtoa mada pole kwa kuzaliwa kwenye jamii hii
Ila usikate tamaa kuna siku mambo kama haya yataeleweka hata kwenye kizazi kingine
Akhsante Mkuu na Umenifariji pakubwa.
 
Ni lazima kutokuusahau UTII kwa Mwenyekiti wa CCM taifa ...iwe MWANGANI AMA GIZANI......

#Siempre CCM🙏
 
Uzuri wa nafasi ya spika aliyokua amefika hata kama kajitoa bado ataendelea kula bata chin ya uangalizi mkubwa wa serekali had aondoke duniani
 
Kuna ubaya gani? Kwa mfano, malengo yako ulitaka uwe mbunge, umepambana umeupata, na ukapata cheo cha juu cha U-spika. Je, ukiamua kustaafu siasa kwa heshima kuna tatizo?

Sasa unakuta Ndugai ameenda kwa SSH, ili kuweka mambo sawa ili 2025 jina lisikatwe! Sasa ya nini kujichosha wakati unaona kabisa nyota imefifia!

Au unakuta Ndugai kaenda kuweka mambo sawa ili apate cheo cha juu cha uteuzi, mfano, mkuu wa Chuo, Mwenyekiti wa bodi etc. Ila Ndugai hajijui tu. Kipindi alipokuwa Spika alionesha ana uwezo mdogo sana, mfano, kuwakumbatia wabunge ambao walikuwa wamefukuzwa kwenye vyama vyao!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sina hakika Sana, kwasababu nahisi ameshamaliza kila kitu kwenye medani ya siasa. Fame ameshapata kuwa speaker for 5yrs sio kitu kidogo. Haya mengine Ni ziada tu, Na sisi raia tunapenda kuji-satsfy hisia zetu. Lakini Kama nafsi ina kiu ya kusikia msiba wa mtu kwa kutofautiana kima wazo/msimamo Hilo nalo Ni tatizo.
 
Kuna watanzania wamesoma lakini hawajui kuchambua mambo makubwa yanayoendana hata na elimu zao na wanapiga hoja kwa neno siyo hoja kwa hoja pole Tanzania tuna safari ndefu sana

Mtoa mada pole kwa kuzaliwa kwenye jamii hii
Ila usikate tamaa kuna siku mambo kama haya yataeleweka hata kwenye kizazi kingine
Another popoma
 
Ni kweli .maaana Hali ilikuwa mbaya sana Ila Bora ameshusha silaha chini wangempoteza japo tumeambiwa ameandika barua ya kujiuzulu Ila angekuwa yeye mwenyewe asingefanya hvyo.
ISHI na watu vizuri
 
1. Katumia Nguvu Kubwa sana ma Juhudi nyingi mno Kuomba kwenda Ikulu Dodoma leo na yawezekana asingepata nafasi hii Presha yake ingepanda na kuanzia Usiku huu au Kesho 'abbreviations' za R.I.P zingeanza Kutawala Kwake kila ukimuita, ukimtaja Hewani.

2. Tokea alipojiuzuru ana Huzuni Moyoni ya 98% na Furaha ya Kulazimisha ya 2% tu

3. Ana Maumivu makubwa na hayuko vyema Kiafya na huenda saaa akendelea tu Kuugua mpaka pale akipokea Maagizo kutoka Juu ya Kumpumzisha Kimoja

4. Kabla ya kutoka pale nje ( Mlangoni ) na kupiga Picha inayosambaa Mitandaoni itakuwa alimpigia mno Mtu Magoti, akagalgala, akamlamba Miguu na pengine hata kuomba asuuze Vyombo vichafu vilivyotumiwa na Wageni Ikulu na akapiga sana Deki Bafuni / Maliwatoni

5. Ameshakata Tamaa ya Maisha na anahisi muda Wowote nas anatuachia Tanzania yetu na kwenda Kupumzika mazima Ardhini

6. Kaathirika Kisaikolojia na kwamba Siku zake za kuendelea Kuishi unaweza hata 'Ukazibetia' kwa Mhindi Mkekani

7. Amepata na anaendelea bado kupata Vitisho kutoka kwa 'Chawa Gegedo' wa Mtu na inaonyesha Vitisho hivi vinamnyima Furaha na Usingizi kupelekea pengine hata Kujutia alichokifanya

Ushauri wangu atibiwe mno Kisaikolojia.
Umeongea ujinga afu kwa kujiamini fool
 
Back
Top Bottom