GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Katumia Nguvu Kubwa sana ma Juhudi nyingi mno Kuomba kwenda Ikulu Dodoma leo na yawezekana asingepata nafasi hii Presha yake ingepanda na kuanzia Usiku huu au Kesho 'abbreviations' za R.I.P zingeanza Kutawala Kwake kila ukimuita, ukimtaja Hewani.
2. Tokea alipojiuzuru ana Huzuni Moyoni ya 98% na Furaha ya Kulazimisha ya 2% tu
3. Ana Maumivu makubwa na hayuko vyema Kiafya na huenda saaa akendelea tu Kuugua mpaka pale akipokea Maagizo kutoka Juu ya Kumpumzisha Kimoja
4. Kabla ya kutoka pale nje ( Mlangoni ) na kupiga Picha inayosambaa Mitandaoni itakuwa alimpigia mno Mtu Magoti, akagalgala, akamlamba Miguu na pengine hata kuomba asuuze Vyombo vichafu vilivyotumiwa na Wageni Ikulu na akapiga sana Deki Bafuni / Maliwatoni
5. Ameshakata Tamaa ya Maisha na anahisi muda Wowote nas anatuachia Tanzania yetu na kwenda Kupumzika mazima Ardhini
6. Kaathirika Kisaikolojia na kwamba Siku zake za kuendelea Kuishi unaweza hata 'Ukazibetia' kwa Mhindi Mkekani
7. Amepata na anaendelea bado kupata Vitisho kutoka kwa 'Chawa Gegedo' wa Mtu na inaonyesha Vitisho hivi vinamnyima Furaha na Usingizi kupelekea pengine hata Kujutia alichokifanya
Ushauri wangu atibiwe mno Kisaikolojia.
2. Tokea alipojiuzuru ana Huzuni Moyoni ya 98% na Furaha ya Kulazimisha ya 2% tu
3. Ana Maumivu makubwa na hayuko vyema Kiafya na huenda saaa akendelea tu Kuugua mpaka pale akipokea Maagizo kutoka Juu ya Kumpumzisha Kimoja
4. Kabla ya kutoka pale nje ( Mlangoni ) na kupiga Picha inayosambaa Mitandaoni itakuwa alimpigia mno Mtu Magoti, akagalgala, akamlamba Miguu na pengine hata kuomba asuuze Vyombo vichafu vilivyotumiwa na Wageni Ikulu na akapiga sana Deki Bafuni / Maliwatoni
5. Ameshakata Tamaa ya Maisha na anahisi muda Wowote nas anatuachia Tanzania yetu na kwenda Kupumzika mazima Ardhini
6. Kaathirika Kisaikolojia na kwamba Siku zake za kuendelea Kuishi unaweza hata 'Ukazibetia' kwa Mhindi Mkekani
7. Amepata na anaendelea bado kupata Vitisho kutoka kwa 'Chawa Gegedo' wa Mtu na inaonyesha Vitisho hivi vinamnyima Furaha na Usingizi kupelekea pengine hata Kujutia alichokifanya
Ushauri wangu atibiwe mno Kisaikolojia.