Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Upanga, kuna salon ya Wahindi inanyoa kwa bei rahisi kabisa, 100 USD.Hizo nywele za katikati ya miguu, zina balaa na mikosi kibao. Na ndiyo maana saloon zote duniani hazikubali kutoa huduma ya kuzinyoa hizo nywele.
Imekula kwako kama umeingia na nywele hizo mwaka 2025.
Mbona hiyo mali huwa unaichukiaMkuu kweli unauanza mwaka kwa kuongelea mvz? Serious!!!
Wanatumia kiwembe cha almasi nini?Hapo Upanga, kuna salon ya Wahindi inanyoa kwa bei rahisi kabisa, 100 USD.
mbaya kabisa anaona ndio kigezo cha kutokutoboa, ndio mana huwa nasema mawazo ya walevi na mafanikio ni mbingu na ardhiMkuu kweli unauanza mwaka kwa kuongelea mvz? Serious!!!
Sio kila kitu kwa ajili yako. Wanatumia bee wax/ na vitu vingine. Tafuta hela nikufundishe Namna ya kuitumiaWanatumia kiwembe cha almasi nini?
Umri wako utakua Ndio changamoto kwako! Hakuna alichokiumba Mungu kikawa na balaa katika mwili wa binadamu! Kila alichoumba Mungu ni chema na wema wake! Acha ujinga jifunze kabla ya kuleta mbele ya umma! Everything was created with purpose!Hizo nywele za katikati ya miguu, zina balaa na mikosi kibao. Na ndiyo maana saloon zote duniani hazikubali kutoa huduma ya kuzinyoa hizo nywele.
Imekula kwako kama umeingia na nywele hizo mwaka 2025.
Tujuze purpose ya hizo nywele mkuu.Everything was created with purpose!
Sa niyapendee nini 😂Mbona hiyo mali huwa unaichukia
Yana raha yake Kuna 6*6Sa niyapendee nini 😂