Kama umefaulu vizuri PCB kasomee Radiology au Doctor of Dental Surgery (DDS)

Kama umefaulu vizuri PCB kasomee Radiology au Doctor of Dental Surgery (DDS)

hermanthegreat

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,274
Reaction score
3,282
Wakuu kwema
Ni muda vijana wanaomaliza form six pcb na 1.3 hadi 1.6 kuwaza kusomea udaktari wa upasuaji wa kinywa na meno (dds) au Radiology (udaktari wa mionzi) kwani itachukua muda mrefu sana kozi hizi kujaa watu mitaani au mahospitalini

DDS kwa mfano , katika post iliyopita ya uhitaji wa wataalamu wa afya ilihitaji Madaktari wa meno 210 , ukizingatia kwasasa wanafunzi wa degree walio intern wa meno ni wa muhas tu ambao ni below 45, Mchas Wanafunzi wako mwaka wa pili bado kwani imeanzishwa hivi karibuni , hapo utajiuliz hao 210 wanatoka wapi?
Mshahara wake ni sawa na MD tu , na wote wanasoma miaka mitano

Radiology vilevile ni adimu sana, kiasi kwamba kabla hata hujamaliza ushawekewa order na hospitali za private kwahiyo nafasi zinabaki wazi nyingi sana huko serikalini.

Vyuo vinavyotoa MD kila mwaka ni vingi uhakika wa ajila upo chini sana.
Kabla hazija saturate hizo kozi ni muda wa kuwahi kuliko kubanana kwenye kozi tulizo nazo mazoea kama pharmacy, MD, Nursing nk.
 
Wazingatie:
1.Kusomea kitu ambacho wako na passion/wito nacho
2.Kusomea kitu ambacho hata kama hutapata Ajira,bado waweza kujiajiri
Hi ni Kwa sababu punde tutakuwa na wahitimu wengi wa hizi DDS, Radiology na hata BioMedical engineering zenye demand kubwa.
Miaka Ile tunasoma Chuo DDS ilikuwa na Wanafunzi wasiozidi 2 Kwa darasa na bado walipata tabu Sana kupata Ajira.Walikuwa wanaota Jinsi gani ya kununua Dental Chair.Na hata ukipata dental chair bado kupata wateja ilikuwa tabu.Dunia imabadilika Sana.
 
Wakuu kwema
Ni muda vijana wanaomaliza form six pcb na 1.3 hadi 1.6 kuwaza kusomea udaktari wa upasuaji wa kinywa na meno (dds) au Radiology (udaktari wa mionzi) kwani itachukua muda mrefu sana kozi hizi kujaa watu mitaani au mahospitalini

DDS kwa mfano , katika post iliyopita ya uhitaji wa wataalamu wa afya ilihitaji Madaktari wa meno 210 , ukizingatia kwasasa wanafunzi wa degree walio intern wa meno ni wa muhas tu ambao ni below 45, Mchas Wanafunzi wako mwaka wa pili bado kwani imeanzishwa hivi karibuni , hapo utajiuliz hao 210 wanatoka wapi?
Mshahara wake ni sawa na MD tu , na wote wanasoma miaka mitano

Radiology vilevile ni adimu sana, kiasi kwamba kabla hata hujamaliza ushawekewa order na hospitali za private kwahiyo nafasi zinabaki wazi nyingi sana huko serikalini.

Vyuo vinavyotoa MD kila mwaka ni vingi uhakika wa ajila upo chini sana.
Kabla hazija saturate hizo kozi ni muda wa kuwahi kuliko kubanana kwenye kozi tulizo nazo mazoea kama pharmacy, MD, Nursing nk.
Ushauri wa maana sana, big up
 
Kwahiyo wanaofanya kazi JKCI wao hawatambuliki na baraza la afya lolote hapa bongo??
Hao ni specialist wamesoma Mmed baada ya degree ya kwanza ya medicine.
Sasa hao Cardiovascular tech wanasoma miaka 3 hadi 4 Kwa bachelor India halafu wanafanya nini hadi mabaraza ya kitaaluma yawatambue
 
Hao ni specialist wamesoma Mmed baada ya degree ya kwanza ya medicine.
Sasa hao Cardiovascular tech wanasoma miaka 3 hadi 4 Kwa bachelor India halafu wanafanya nini hadi mabaraza ya kitaaluma yawatambue
Bro JKCI kuna
1. Cardiologists
2.Interventional cardiologists.
3.Cardiovascular technologists.
4.Radiographers (medical imaging technologist)
5. Sonographers.
Sasa kama radiographer (medical imaging technologist) wananasoma miaka tatu na wanatambuliwa na Baraza la waradiolojia, why not cardiovascular technologists??
 
Jaman nosaidien mm nmesoma PCB nataka nisome kozi ambayo nikimaliza niingie kazin ndani ya miaka mitano au nane niwe na nyumba hata mbili then niachane na kazi ya serikali nifanye mbishe zangu ndo ndoto zangu nina miaka 19 ss ivi
 
Bro JKCI kuna
1. Cardiologists
2.Interventional cardiologists.
3.Cardiovascular technologists.
4.Radiographers (medical imaging technologist)
5. Sonographers.
Sasa kama radiographer (medical imaging technologist) wananasoma miaka tatu na wanatambuliwa na Baraza la waradiolojia, why not cardiovascular technologists??
Anatambulika na baraza gani sasa useme hapa
 
Back
Top Bottom