Kwani uko single?tuendelee tu kukumbatia mito [emoji28][emoji28]
ni lukuki mzeeMambo ni mengi ya kukufariji, mojawapo pitia nyuzi humu humu JF kwani JF imesheheni mambo rukuki...
Tufarijiane jamani wale ambao hatuna wenza kwa sasa.
Tuambiane mambo mengine, yapi ya kufanya kwa ajiili ya kujifuraisha nayo kwa namna moja ama nyingine.
Pamoja na kwamba ni vyema sana na raha kuwa na Partner, lakini kama huna basi tubadilishane mawazo huku JF kidogo.. vibe, hamasa na kutiana moyo hasa katika utafutaji.
Ni hayo tu, Karibuni. [emoji122]
mazoezi ni mbinu ambayo hata mimi natumia.Unazurura whatsaap, Insta, Fb na QUORA kule usingizi u akuja tu
au during the day unafanya kazi sana na mazoez sana ikifika muda wa kulala unasinzia chap no stress
Leo unaumwa nilikesha na pombe kwenye mwengePombe ndio suluhisho pekee
Usiache sasa taratibu utaanza kufurahia lifeLeo unaumwa nilikesha na pombe kwenye mwenge