Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kuna maneno ya msahafu yanasema .. Mpe kilevi mwenye tabu ANYWE ALEWE asahau shida zake!
Maisha yana changamoto na stress nyingi sana.. Ukiziendekeza utakufa uache wengine wanaendelea kufaidi..
Ukiona hakusomeki moja haikai.. Mbili haikai..jongea maeneo hata kama ni kwa mama muuza agiza hata kama ni ngumu kumeza utoe lock uione pepo ukiwa hapa hapa duniani
Usinywe kwa stress ukaanza kuwaza mabaya.. Kama uko maeneo na umeshalewa jongea hapa tupige story mbili tatu
Hakuna kitu kinafurahisha kama story za walevi.. Hebu jongea hapa tusimuliane
Jinsi tunavyowaona wanawake ni warembo baada ya kulewa.. Hapo kabla ya kutoa lock unawaona wabaya
Jinsi unavyomfukuza boss kazini 😂
Jinsi unavyoajiri😂
Jinsi unavyofunguka siri zako..nk
Pombe haitatui changamoto zetu lakini wakati tunasubiri ufumbuzi kutoa lock na kupiga story ni MUHIMU Sana..😂
Maisha yana changamoto na stress nyingi sana.. Ukiziendekeza utakufa uache wengine wanaendelea kufaidi..
Ukiona hakusomeki moja haikai.. Mbili haikai..jongea maeneo hata kama ni kwa mama muuza agiza hata kama ni ngumu kumeza utoe lock uione pepo ukiwa hapa hapa duniani
Usinywe kwa stress ukaanza kuwaza mabaya.. Kama uko maeneo na umeshalewa jongea hapa tupige story mbili tatu
Hakuna kitu kinafurahisha kama story za walevi.. Hebu jongea hapa tusimuliane
Jinsi tunavyowaona wanawake ni warembo baada ya kulewa.. Hapo kabla ya kutoa lock unawaona wabaya
Jinsi unavyomfukuza boss kazini 😂
Jinsi unavyoajiri😂
Jinsi unavyofunguka siri zako..nk
Pombe haitatui changamoto zetu lakini wakati tunasubiri ufumbuzi kutoa lock na kupiga story ni MUHIMU Sana..😂