Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Tuliambiwa umeme hautoshi ndio maana kukawa na Mgao, tunaambiwa hata Bwawa likiwa full Capacity (mara mbili ya uzalishaji wa sasa) bado bei hazitashuka sababu kuna mahitaji makubwa ya viwanda n.k.
Sasa najiuliza hawa Adani na wengineo ambao eti wameleta ombi la kufanya usambazaji, wanasambaza nini na wapi ? Pili kuongeza mtu kati lazima na yeye atachukua chake hivyo kugawana faida na kama ni hasara sisi Wabia wake ndio tutafidia Hasara ili apate faida...
Binafsi nilishauri Tanesco aingie UBIA ila aingie kwenye vitu ambavyo hawezi kufanya au mpaka sasa hafanyi au hana expertise ya kufanya....
www.jamiiforums.com
Pili nilishauri kila mtu anayeweza aingie UBIA na TANESCO katika uzalishaji, tena nilisema sio raia kutoka nje (sababu tuna vyanzo na uwezo wa kuzalisha Gigawatts za kutosha); bali kila raia awe mzalishaji na azalishe kutumia solar na kuwauzia TANESCO kama Credit...; na kama wewe una mbinu yako ya kuzalisha ambayo itakuwa gharama nafuu kuliko vyanzo vya TANESCO (hydro, gesi n.k.) basi watanunua kutoka kwako na kuuza kwetu na wabakie na chenji ya kufanyia ukarabati
www.jamiiforums.com
Tusifanye Kosa la kugawa urithi wetu, tunajua yaliyotokea huko nyuma, pia kuingia UBIA tuingia jambo ambalo hatuwezi kufanya au tuache wigo wa watu binafsi kushindana kutupa Huduma, sio kuingia UBIA kwenye vitu ambavyo ni Naturally Monopoly na watu hawana choice bali kutumia huduma husika...; UK walifanya haya na sasa wanajuta kwa bei kuwa inflated bila uhalisia...
Sasa najiuliza hawa Adani na wengineo ambao eti wameleta ombi la kufanya usambazaji, wanasambaza nini na wapi ? Pili kuongeza mtu kati lazima na yeye atachukua chake hivyo kugawana faida na kama ni hasara sisi Wabia wake ndio tutafidia Hasara ili apate faida...
Binafsi nilishauri Tanesco aingie UBIA ila aingie kwenye vitu ambavyo hawezi kufanya au mpaka sasa hafanyi au hana expertise ya kufanya....
Nishati Safi ya Kupikia (PPP tunayohitaji Kuingia)
Private Public Partnership inafaa pale tu ambapo kuna mtu binafsi ana kitu ambacho serikali haiwezi kufanya, au anaweza kukifanya kwa ubora; Win Win Situation. Sasa katika Suala la Nishati Safi ya Kupikia kuna majiko ya kisasa ya Induction Cooker ambayo yana ufanisi wa percent 90; Yana Ufanisi...
Pili nilishauri kila mtu anayeweza aingie UBIA na TANESCO katika uzalishaji, tena nilisema sio raia kutoka nje (sababu tuna vyanzo na uwezo wa kuzalisha Gigawatts za kutosha); bali kila raia awe mzalishaji na azalishe kutumia solar na kuwauzia TANESCO kama Credit...; na kama wewe una mbinu yako ya kuzalisha ambayo itakuwa gharama nafuu kuliko vyanzo vya TANESCO (hydro, gesi n.k.) basi watanunua kutoka kwako na kuuza kwetu na wabakie na chenji ya kufanyia ukarabati
Jinsi ya kuifanya Kampuni ya Tanesco kuwa Kampuni Bora na ya Kujivunia Tanzania na Afrika kwa Ujumla
Tanzania tumebarikiwa vyanzo vingi vya nishati, Na Tanesco ni kati ya Makampuni mama ya Tanzania ambayo yanaweza yakaitangaza nchi yetu Africa na Pote Duniani (Yaani mfano wa kuigwa) Sio tu kutupatia nishati hapa bali tuweze kuwapa hata majirani zetu na kutuingizia fedha badala ya sasa kutumia...
Tusifanye Kosa la kugawa urithi wetu, tunajua yaliyotokea huko nyuma, pia kuingia UBIA tuingia jambo ambalo hatuwezi kufanya au tuache wigo wa watu binafsi kushindana kutupa Huduma, sio kuingia UBIA kwenye vitu ambavyo ni Naturally Monopoly na watu hawana choice bali kutumia huduma husika...; UK walifanya haya na sasa wanajuta kwa bei kuwa inflated bila uhalisia...
Tuanzie Tulipo, Tutumie Tulichonacho, Tufanye Tunachoweza